Swali langu ni hilo tu.
Kwa kigezo gn?Mwingine ni mwanamama Samia S Hassan.
Mungu ndiye anayejuwa.Inawezekana vizuri tu. Mtu kama Hussein Mwinyi ni mcha Mungu.
Mwingine ni JPMMwingine ni mwanamama Samia S Hassan.
Et.....?God forbidMwingine ni JPM
Nafasi aliyonayo ni kutokana na umuhimu wa baba yake,hivyo kuna watu wengi wamekosa nafasi hiyo sababu kwa kigezo hicho.hivyo amedhulumu -hata akiwa mucha mungu ni sawa na bureInawezekana vizuri tu. Mtu kama Hussein Mwinyi ni mcha Mungu.
Et.....?God forbid
Kwani huko ccm wanafanya ibada gani ya uuchaji Mungu !?Swali langu ni hilo tu.
Ulipaswa Kabla yakutoa Mguu ndani uanze na ndani mwakoSwali langu ni hilo tu.
Extremly impossible ingawa utawaona wakienda makanisani na msikitini wasubiri tu moto wa jehanamu