Hivi inakuwajehii wanaume jamani?

Hivi inakuwajehii wanaume jamani?

si uombe talaka bibie....kero za nini? jipange usepe,,,,,maisha yapo tuu...
 
Halafu tunakuwaga na wake zetu wazuri nyumbani ila midude tunayokwenda kuchovya nje hamna kitu....hahahaha
 
Angalia usije kosa vyote hivyo fikiri kabla ya kutenda, wanaume sie kwenye mapenzi tuko kama watoto wadogo ukifanya hayo unayotaka kufanya kwa kudhani unamkoa sio kwa wanaume iko siku utakuja kujuta. Tafuta suluhu zinazostahiki za mafundisho ya dini yako kuhusu ndoa.
 
Nitajuta nini kwani maisha ni ndoa tuu hajuti mtu hapa maisha yataendelea tu kwani wasio na wanaume hawaishi hakuna cha kutafuta pesa wala nini ulimbukeni tu nimejipanga nishasema mama mbwaibwai tu hivi hata kama unato........ nje ndo urudi asubuhi kha
 
Naamini ndoa mapenzi kama yameisha basi huwezi lazimisha au?
 
Siwezi kusepa labda asepe yeye nyumba hii timejenga wote tutaishi tu kama roommates yeye si ndo anaerudi asubuhi aende jumla ruksa nshajipanga
 
Number 4 utaweza?

Number 3 ni jambo jema kabisa

Kombe la dunia lipo njiani, nenda kakeshe nae bar
 
Huyo ndio mwanaume
anasaka maisha muda na saa yoyote
We unataka muangaliane muda wote
Pesa ya chakula na ada za watoto + kodi ya nyumba ikikosekana uanze
zarau
Yani sijuwi mijinamke ya siku hizi ipo je
Zamani wazee wetu walirudi muda wowote tena wakifika bibi zetu
waliwapokea kwa ukarimu na unyenyekevu na pole nyingi na simu kulikuwa
hamna
Tulia wewe toa papuchi hiyo maisha yasonge

Acha kutetea ujinga, Jiheshimu kama huna cha kushauri kuwa msomaji tu.
 
Huyo ndio mwanaume anasaka maisha muda na saa yoyote
We unataka muangaliane muda wote
Pesa ya chakula na ada za watoto + kodi ya nyumba ikikosekana uanze zarau
Yani sijuwi mijinamke ya siku hizi ipo je
Zamani wazee wetu walirudi muda wowote tena wakifika bibi zetu waliwapokea kwa ukarimu na unyenyekevu na pole nyingi na simu kulikuwa hamna
Tulia wewe toa papuchi hiyo maisha yasonge

Kusaka maisha kurudi saa 11 alfajiri? Ebu toa hizo chuya kichwani kwako....
Na vile vile wazee wetu wa zamani walikuwa wanarudi na hata kipande cha kitenge mkononi ....sio mijanaume ya sasa hata kubeba matunda yanamshinda....
 
nimekufurahia kama mie ndo mwenye hyo ndoa!! jipange na usiumize kichwa mimi mwanaume kanisababisha nimekuwa sugu,jasiri na naona kawaida tu uwepo na kutokuwepo kwa wanaume haunipunguzii chochote! na kwanin kama unama hujamaliza ukajanja ujiingze kwenye ndoa?
 
Nitajuta nini kwani maisha ni ndoa tuu hajuti mtu hapa maisha yataendelea tu kwani wasio na wanaume hawaishi hakuna cha kutafuta pesa wala nini ulimbukeni tu nimejipanga nishasema mama mbwaibwai tu hivi hata kama unato........ nje ndo urudi asubuhi kha

Nimepende msimamo wako....unajua kuna wanawake wengine wanakuwa watumwa katika ndoa zao kisa eti watoto wangu wataishije?
Kama una kazi ya kukuingizia pesa jipange vizuri deal na watoto wako ...toka out na watoto
Kuwa na furaha kila wakati na haswa akiwa yeye yupo...
Badilisha muonekano wako kimavazi,jirembe utakavyo na usimuhulize chochote kile
Utapata jibu
 
Thanx so much Rapunzel at least umenielewa your ushauri means a lot to me thanx
 
Yani mimi najua we all live once sasa kwanini tuishi kwa ugomvi kila siku? Juzi nimemzika rafiki yangu mpendwa alipata ajali moro kaacha mtoto mdogo tu yani hiki kifo nimejifunza kwamba sisi binadamu si lolote unaweza ondoka anytime . Sasa kwanini tuishi kwa vurugu maisha yenyewe haya mafupi hivi? Kama hunipendi poa acha nikae basi kwa amani wewe kaponde raha mimi kwangu sawa tu, kila kitu ni maamuzi nimmeamua jamani bila kushinikizwa na mtu Mungu akinipa uzima nitakuja kuwapa kilicho jiri baada ya maamuzi magumu
 
Pole sana dada!tupo wengi kumbe,usijari sana mitihani tumeumbiwa waja!una msimamo mpk nimefurahi najua hutaumia tena!
 
Mhh pole dada,mi yani huwa nawaza hivi niolewa afu nije niachike kweli,hapanaa...
Sishauri uachane nae utaumiza watoto hawajui kitu afu watu mshasema till death does you apart,washikilie wanao dada wakikua wataelewa the sacrifice u made watakutunza ,have fun and enjoy life with them,as long as unafanya kazi itakupunguzia mawazo,..cha msingi mbane mumeo ahudumie familia vizuri....
Jipambe na upendeze zaidi ,hali ikiwa tete sana muombe mchezo,kama bado hasomeki mwenzangu kibinadamu kuchepuka ruksaaaa kajipunguzie stress.
 
Fanya yote lakini usimnyime mbunye,, utajuta kwani nae anakutegea apo apo apate sababu.
 
Wewe unajifariji tu, huu uamuzi wako utaweza kuusimamia ukijitahidi sana ni wiki 2 tu lazima uanze tena kulia lia. Anyway kila la heri.
 
Back
Top Bottom