Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,335
- 3,902
Bukta wanavaa wanaume wa kigumu, huwezi kwenda garage bila kuvaa buktaKwenye mihangaiko ya duniaa alafu nafanya kazi na wanaume ofisini mara kibao mashart yanachomoka unakuta mtu kavaa mpensi mara ya kijani,njano saa nyingine mpka la purple yaan nachukiaa balaaa
Usitangaze umaa..a wako mama. Hii inamaanisha kuwa umewaona wanamme wengi sana wamevaa bukta badala ya boksa!!Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako? Kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana, huo ni uchafu, usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata.
Kuna wengine washirikinaYaan ww unafanan na wachuga
Mie na boxa zangu du kumbe kaipenda si akaiba nimefika home tafuta tafut na wew siku anakuja kupiga pic ananiambia unaniona nilivopendeza maan nilichukua ukimbusho
Ila nyie wanawake mnazijua wenyewe tu akili zenu
Kwenye mihangaiko ya duniaa alafu nafanya kazi na wanaume ofisini mara kibao mashart yanachomoka unakuta mtu kavaa mpensi mara ya kijani,njano saa nyingine mpka la purple yaan nachukiaa balaaa
Tatizo vijana mliozaliwa juzi ushuani hamuwezi kujua haya mambo,Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako? Kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana, huo ni uchafu, usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata.
alafu unakuta jamaa lina manywele mpka mgongni, kinyaa.Kwenye mihangaiko ya duniaa alafu nafanya kazi na wanaume ofisini mara kibao mashart yanachomoka unakuta mtu kavaa mpensi mara ya kijani,njano saa nyingine mpka la purple yaan nachukiaa balaaa
For sureMaisha haya.....
Siku moja katika harakati za hapa na pale, zikazuka vurugu usiku usiku, askari wakaja na mimi nikazolewa.... tukaenda kutupwa selo.
Bahati nzuri nilikuwa nimevaa bukta ya kadeti nje, pamoja na kuvaa boxer, ndani nilikuwa na zinga la bukta la basketball, lilisaidia sana kugeuka mto kule selo.
Anyaways, kama ambavyo wanawake wanabeba kanga, mwanaume huwezi kutoka kizembezembe, linaweza ibuka noma, mkajikuta mmevulishwa nguo halafu wewe una bikini
Hata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu wanaume mbadilike
Malaya na utanashati wapi na wapi!! Usidanganye hapaHata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu wanaume mbadilike
Mwanamke anayevaa taiti ni wa mkoani mkuu wa dar tushazisahau hizo
Acha kumuharibia mtuu tangazo lakeMalaya atavaaje taiti!!?