Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Kwenye mihangaiko ya duniaa alafu nafanya kazi na wanaume ofisini mara kibao mashart yanachomoka unakuta mtu kavaa mpensi mara ya kijani,njano saa nyingine mpka la purple yaan nachukiaa balaaa
Bukta wanavaa wanaume wa kigumu, huwezi kwenda garage bila kuvaa bukta
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako? Kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana, huo ni uchafu, usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata.

Usitangaze umaa..a wako mama. Hii inamaanisha kuwa umewaona wanamme wengi sana wamevaa bukta badala ya boksa!!
 
Hata hyo bozer napiga na chupi kbsa ..kuvaa hvyo bill chupi naona kbsa Kam vile Niko uchi
 
Yaan ww unafanan na wachuga

Mie na boxa zangu du kumbe kaipenda si akaiba nimefika home tafuta tafut na wew siku anakuja kupiga pic ananiambia unaniona nilivopendeza maan nilichukua ukimbusho



Ila nyie wanawake mnazijua wenyewe tu akili zenu
Kuna wengine washirikina
 
wacha nikjib wanaume tunavaa bukta kwa sababu abdala huwa anapenda viwanja vyenye uwaziii
 
Maisha haya.....

Siku moja katika harakati za hapa na pale, zikazuka vurugu usiku usiku, askari wakaja na mimi nikazolewa.... tukaenda kutupwa selo.

Bahati nzuri nilikuwa nimevaa bukta ya kadeti nje, pamoja na kuvaa boxer, ndani nilikuwa na zinga la bukta la basketball 😁 😁 😁 😁 😁 , lilisaidia sana kugeuka mto kule selo.

Anyaways, kama ambavyo wanawake wanabeba kanga, mwanaume huwezi kutoka kizembezembe, linaweza ibuka noma, mkajikuta mmevulishwa nguo halafu wewe una bikini :oops::oops::oops:
 
Haa Haa
Tanzania Ni Nchi Yetu Lakini Ngumu, Mjadala Umeshika Kasi Kuhusu Ch*p*
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako? Kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana, huo ni uchafu, usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata.

Tatizo vijana mliozaliwa juzi ushuani hamuwezi kujua haya mambo,
Haya maneno unayafahamu,kupuna,ma play,sago,mkole,mnanda?
Kama huyafahamu Tanzania(Dar es salaam),umekuja baada ya Y2K(2000).
Hizo bukta ni silaha Incase ukikamatwa na njagu(,polisi)na kuwekwa ndani.
Vijana wanao hustle na deals zenye utata ilibidi wajihami.
Kipindi hicho vitendo vya sodomization vilikuwa vingi sana mahabusu,sasa ukiingizwa ndani Tena ni chalii,unakuta mijitu imeshiba inataka ikufanye hasusa,
Sasa kwenye purukushani basi uwe na bukta ndani,itakusaidia ku delay balaa lisikupate.
Vile vile,kipindi hicho ukitoka shule unaenda kucheza Mpira,au kuangalia muvi manzese kwa mfuga mbwa,sasa huwezi kucheza na uniform ya shule,bi mkora atakutia stiki ukirudi mchafu.
Vijana wa kileo,mnaoshinda kwenye luninga na DStv remote,hamyajuhi haya.
Kupiga bukta ndani ni mazoea tangu ujanani wetu,
 
Kwenye mihangaiko ya duniaa alafu nafanya kazi na wanaume ofisini mara kibao mashart yanachomoka unakuta mtu kavaa mpensi mara ya kijani,njano saa nyingine mpka la purple yaan nachukiaa balaaa
alafu unakuta jamaa lina manywele mpka mgongni, kinyaa.
Ila wanawake nao badala ya kuvaa chupi na undersketi wanavaa Pensi za twiga stars na wengine hawavai chupi ili msambwanda utikisike vizuri.
 
Maisha haya.....

Siku moja katika harakati za hapa na pale, zikazuka vurugu usiku usiku, askari wakaja na mimi nikazolewa.... tukaenda kutupwa selo.

Bahati nzuri nilikuwa nimevaa bukta ya kadeti nje, pamoja na kuvaa boxer, ndani nilikuwa na zinga la bukta la basketball , lilisaidia sana kugeuka mto kule selo.

Anyaways, kama ambavyo wanawake wanabeba kanga, mwanaume huwezi kutoka kizembezembe, linaweza ibuka noma, mkajikuta mmevulishwa nguo halafu wewe una bikini :oops::oops::oops:
For sure
 
Hata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu wanaume mbadilike
 
Hata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu wanaume mbadilike
Malaya na utanashati wapi na wapi!! Usidanganye hapa
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom