Hivi inakuwaje mtu anakuuzia kiwanja halafu baadae anakitaka kiwanja chake?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Habari zenu wakuu ebana Nina mshikaji wangu aliuziwa KIWANJA miaka ya nyuma na maeneo ya mbagala na MZEE mmoja ivi miaka ya 2000.

Lakini baada ya miaka kupita yule mzee alianzisha mgogoro wa mipaka na mshikaji ila badae walisuruhisha sasa miaka ya hivi karibuni yule ameanza kudai kile kiwanja akidai alimuuzia kimakosa HIVOO anataka kurudisha pesa alizopewa lakini pia kumrudishia gharama zake zote za kiwanja alizokuwa akilipia kodi TRA . ...

Hivi kesi kama hii inakuwaje pale MTU anapokitaka kiwanja chake na kukurudishia gharama zako zote na inakuwaje mtu anataka arudishe kiwanja
 
Hicho kiwanja inabidi umuuzie kwa bei ya sasa hivi, na siyo kwa kukulazimisha ni endapo tu utapenda!
Mkataba wa mauziano unasemaje..
Yeah hapo upo sahihi sasa unakuta MTU mwingine yeye kama alikuuzia kwa bei bei ile ile uliyonunulia miaka ya nyuma.
 
wazaramo mna kazi


Habari zenu wakuu ebana Nina mshikaji wangu aliuziwa KIWANJA miaka ya nyuma na maeneo ya mbagala na MZEE mmoja ivi miaka ya 2000.

Lakini baada ya miaka kupita yule mzee alianzisha mgogoro wa mipaka na mshikaji ila badae walisuruhisha sasa miaka ya hivi karibuni yule ameanza kudai kile kiwanja akidai alimuuzia kimakosa HIVOO anataka kurudisha pesa alizopewa lakini pia kumrudishia gharama zake zote za kiwanja alizokuwa akilipia kodi TRA . ...

Hivi kesi kama hii inakuwaje pale MTU anapokitaka kiwanja chake na kukurudishia gharama zako zote na inakuwaje mtu anataka arudishe kiwanja
 
Huyo mzee mwenye roho mbaya mimi nampenda sana, maana najua kajipanga hata kwa kumroga huyo mtu.
Unajua uchawi kanuni zake lazima pawepo na ugomvi ndipo ufanye kazi.
Ningeliita jina la Yesu, hakika angekwenda kusimulia huko kuzimu.
Kama documents anazo asihofu, amtajie bei ambayo hataiweza.
 
Mpelengana uko sahihi kabisa, dawa ya mchawi ni Jina la Yesu! Wachawi wa mtaani kwetu hawana hamu na mimi kabisa kwa kipigo wanachopata kwa sababu ya maombi.
NAKUPENDA SANA YESU!
 
mshauri huyoo jamaa amuuzie mtu mwingine hicho kiwanja kinaweza kumgarimu maisha. mzee ashaingia tamaa kwenye tamaa kuna mambo mengi.
 
Habari zenu wakuu ebana Nina mshikaji wangu aliuziwa KIWANJA miaka ya nyuma na maeneo ya mbagala na MZEE mmoja ivi miaka ya 2000.

Lakini baada ya miaka kupita yule mzee alianzisha mgogoro wa mipaka na mshikaji ila badae walisuruhisha sasa miaka ya hivi karibuni yule ameanza kudai kile kiwanja akidai alimuuzia kimakosa HIVOO anataka kurudisha pesa alizopewa lakini pia kumrudishia gharama zake zote za kiwanja alizokuwa akilipia kodi TRA . ...

Hivi kesi kama hii inakuwaje pale MTU anapokitaka kiwanja chake na kukurudishia gharama zako zote na inakuwaje mtu anataka arudishe kiwanja

Hiyo ni Dhuluma na mbaya sana, maana kama alinunu 2m mwaka 2000 na sasa 2017 chaweza kuwa hata 30m.... kama ana makaratasi yeye apambane naye tu
 
Habari zenu wakuu ebana Nina mshikaji wangu aliuziwa KIWANJA miaka ya nyuma na maeneo ya mbagala na MZEE mmoja ivi miaka ya 2000.

Lakini baada ya miaka kupita yule mzee alianzisha mgogoro wa mipaka na mshikaji ila badae walisuruhisha sasa miaka ya hivi karibuni yule ameanza kudai kile kiwanja akidai alimuuzia kimakosa HIVOO anataka kurudisha pesa alizopewa lakini pia kumrudishia gharama zake zote za kiwanja alizokuwa akilipia kodi TRA . ...

Hivi kesi kama hii inakuwaje pale MTU anapokitaka kiwanja chake na kukurudishia gharama zako zote na inakuwaje mtu anataka arudishe kiwanja

Kama amekitaka mwenyewe unaweza muuzia kwa bei ya sasa lakini! Pengine Mungu anakuepusha na jambo fulani!

Nikupe ushuhuda kidogo!
Mimi nilinunuaga kiwanja kwa jamaa yangu miaka kadhaa iliyopita,nikamtangulizia kama 85℅ ya gharama za kiwanja! Kiasi kilichobaki tukakubaliana kulipana baadae, baada ya miezi kama mitatu hivi yule jamaa akanifuata anataka kiwanja chake,ameahirisha kuuza,akawa amenirudishia hela yangu! Nilimsihi aniachie hicho kiwanja lakini alikataa!
Mwishowe nikamkubalia tu kwakuwa alikuwa jamaa yangu wa karibu. Baada ya miaka miwili kupita akiwa ameshakitwaa tena kiwanja chake, nikapata taarifa kutoka kwa rafiki yake wa karibu na huyo jamaa ambaye pia ni rafiki yangu,kuwa kile kiwanja nilichotaka kukinunua kipindi kile kimepitiwa na barabara ya serikali tena katikati kabisa, ikumbukwe kuwa kiwanja kilikuwa cha squarter, yaani hakijapimwa.

Nilimshukuru Mungu kwa kuniepusha na hilo!

Kwahiyo Ndugu yangu huwezi kujua Mungu anakuepusha na nini, cha msingi kaa, utulie ufanye maamuzi sahihi!
Mwenyezi Mungu akutangulie katika Maamuzi yako!
 
Habari zenu wakuu ebana Nina mshikaji wangu aliuziwa KIWANJA miaka ya nyuma na maeneo ya mbagala na MZEE mmoja ivi miaka ya 2000.

Lakini baada ya miaka kupita yule mzee alianzisha mgogoro wa mipaka na mshikaji ila badae walisuruhisha sasa miaka ya hivi karibuni yule ameanza kudai kile kiwanja akidai alimuuzia kimakosa HIVOO anataka kurudisha pesa alizopewa lakini pia kumrudishia gharama zake zote za kiwanja alizokuwa akilipia kodi TRA . ...

Hivi kesi kama hii inakuwaje pale MTU anapokitaka kiwanja chake na kukurudishia gharama zako zote na inakuwaje mtu anataka arudishe kiwanja


...... aiseeee hawa wazee kwa vituko, ndivyo alivyofanya Lipumba ndani ya CUF..
 
Kwanza huyo mzee anaonekana kwao alikua wa kiume pekee na dada zake kumi hivyo akadekezwa sanaaa hivyo kakua na tabia za deko au pili tamaa imemuwaka anataka akupige kijini kama cha kilo watts 5000 hivi
 
Habari zenu wakuu ebana Nina mshikaji wangu aliuziwa KIWANJA miaka ya nyuma na maeneo ya mbagala na MZEE mmoja ivi miaka ya 2000.

Lakini baada ya miaka kupita yule mzee alianzisha mgogoro wa mipaka na mshikaji ila badae walisuruhisha sasa miaka ya hivi karibuni yule ameanza kudai kile kiwanja akidai alimuuzia kimakosa HIVOO anataka kurudisha pesa alizopewa lakini pia kumrudishia gharama zake zote za kiwanja alizokuwa akilipia kodi TRA . ...

Hivi kesi kama hii inakuwaje pale MTU anapokitaka kiwanja chake na kukurudishia gharama zako zote na inakuwaje mtu anataka arudishe kiwanja
Hakuna kitu kama hicho duniani kumuuzia amuue kama akitaka tena na garama za usumbufu asimuuzie chini ya milioni 40, Mzee atakuwa mwanga huyo
 
Hicho kiwanja inabidi umuuzie kwa bei ya sasa hivi, na siyo kwa kukulazimisha ni endapo tu utapenda!
Mkataba wa mauziano unasemaje..
Mkataba unasema nauza kiwanja changu lakini kichwani sipo sawa...hapo mnunuzi lazima arudishe aisee!
 
Kuna mtu alishaniletea hizo baada ya kumaliza kujenga nyumba Yangu kwa utu uzima wake aliona Aibu mwenyewe baada ya kumpotezea!
 
Back
Top Bottom