Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Kawauza kina Odemba ,Kiwia na alikua anawalea nyumbani kwake ukifukuzwa kwenu anakupokea mradi utoe papa kwa madon

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20190822-200548~2.jpeg
 
Mimi nimesoma nae darasa moja mkuu namjua nje ndani akiwa shule..enzi zile maconcert ya shule walikuwa na group la 3 walikuwa wanajiita TLC kama lile group kina dada wa marekani. Huyo mwenzie anaitwa Vicky sijui kama bado yupo hai.
Enzi za shule alikuwa maarufu Kajala alikuwa bado yupo form 1 nae anachipukia.
Kwenye suala la umri inaweza akawa anagonga kati ya 38-40 nafikiri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi huyo shida sikumbuki maana enzi hizo jitegemee jitegemee kweli, ila kajala alikuwa maarufu sana jitegemee maana mi naingia form one yeye yupo form three na kina Daz nundaz na tayari walikuwa maarufu sana shuleni hapo.
Enzi hizo jitegemee Ilikuwa na wanafunzi karibu elfu 4 na walimu zaidi ya 200
 
Ndo maana profesa wanasema kaungua
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom