Wakikujibu hio naomba waulize na BRN imelazwa wodi gani!!!Ule mchakato wa kilimo kwanza ulienda wapi ndugu Zangu au tulidanganywa mazombi sisi!!!
Poleni,wajinga ndio waliwao.Usisahau MKUKUTA na jamii yake yote.Ule mchakato wa kilimo kwanza ulienda wapi ndugu Zangu au tulidanganywa mazombi sisi!!!
Baada ya kilimo kwanza ikafuata BRN nayo kwishiney
Viwanda vya kufyatua watoto au??? hivyo viwanda vitazalisha nini??? ana miaka minne tu.Kila nabii na zama zake.
Zike zilikuwa zama za JK.
Na sasa tupo zama za John, hapa ni Viwanda, Kuhamia Dodoma na Watumishi hewa.
Fyatueni hakuna adaViwanda vya kufyatua watoto au??? hivyo viwanda vitazalisha nini??? ana miaka minne tu.
Viwanda vya kuzalisha nini mkuu? au ni vile vya kufyatua watoto???Subiri kwanza tumalize viwanda