chinekeeee
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,787
- 2,886
Saaana..."kwanza nakupa sita pili unajitetea ...unamkumbuka huyu mwalimu
Mkuu uliwahi kukutana na adhabu ya kubeba dunia?
Mkuu uliwahi kukutana na adhabu ya kubeba dunia?
💪💪Am the One i studied there on behalf let me say thanks for your appreciation
Saaana..."kwanza nakupa sita pili unajitetea ...unamkumbuka huyu mwalimu
Mkuu miaka gani umesema hapoSiku moja maafande walikuja bwenini kufanya ukaguzi wa ghafla, wakakuta kuberi ya mshaji kwenye tranka langu wenyewe wakaandika madawa ya kulevya, j3 siku ya hukumu kila mmoja anaitwa staff room na kuaomewa makosa yake, pembeni wamesimama mp watatu unapita kwa kila mmoja anakupa kichapo cha haja, shukrani kwa kepteni fulani alikua anajuana na mshua akawaambia huyu mtunzeni tutamshughulikia badae, ila siku hiyo watu walipewa kipondo cha haja siwezi kusimulia.
HaswaaaKweli imekufa
Tupooooo watoto wa msangilwa na mwanyiguNaona mliosoma kawawa mmebadilisha mada kabisa!
Haya na sisi jirani zenu tuliosoma MET( now JJ mungai) tuendelee kucomment humu humu?
hakuna hoteli pale kuna vyoo vya kujisaidia.Nizaidi ya mwezi sasa haifanyi kazi,au ndio mtikisiko wa uchumi umewafikia na wao?kwa watu wa mikoa ya nyanda za juu kusini watakua wanaifaham vizuri hii hotel.na jirani yake pia al jazira inapumulia mashine!View attachment 978612View attachment 978618
Walifungiwa na serikali