CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,179
Mara ya mwisho tuliona waziri Mkuu akiongea na wajumbe wa bodi hiyo akiwataka wafanye bidii kuweka sawa mapendekezo Yao . Ikumbukwe mheshimiwa Raise alishatoa maelekezo na kuleta natumaini makubwa kuwa mfanyakazi angelipwa kutokana na kazi yake
Sasa wajumbe wa hii bodi wameenda wapi Tena?
Au nimefoka?
Sasa wajumbe wa hii bodi wameenda wapi Tena?
Au nimefoka?