Huyo aliekukaba hakuwa na wadhamini?
Kesi ilifunguliwa ni madai au jinai?
Makubaliano ya kulipana ilikuaje kwamba atakua anapeleka pesa mahakamani au atakulipa wewe mwenyewe..
Kama ni madai amini ukimfunga,akiwa gerezani itakupasa uwe unampelekea chakula,
Ikipita muda hajakulipa hata kidogo nenda mahakamani kakaze hukumu...
Mimi sio mwanasheria nawachokoza tu wenye fani yao waje kujibu kisomi zaidi