mkunga wa jadi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2025
- 208
- 431
Hivi hawa watu ambao tunatumia vitu vyao wanajisikiaje? Hivi chanzo cha Waafrika kuwa hivi ni nini? Ni mindset zetu ziliharibiwa na wazungu yaani kutufanya wao tuwaone bora ila vya kwetu tuvione si chochote wala si lolote na hivi waAfrika miaka na miaka tuneshindwa kutengeneza vya kwetu kuanzia mababu zetu mpaka sie tumeshindwa kutengeneza vya kwetu?
Mwafrika ni mtu wa kupangiwa tu hata Elimu yetu ni ya kupangiwa tu wala mwafrika usijione mjanja kwa vitu ambavyo wewe umepangiwa tu na Mwafrika ni kw
mtu ambae anaishi jwa maelezo tu yaani mwafrika anaishi kwa maelezo ya kupangiwa na bwana zao wazungu au wachina
Mwafrika ni race ambayo ina roho mbaya, husuda,wivu na hasidi mwafrika anaweza kumuua mwafrika mwenzie kwa Tamaa ya mali na madaraka rejelea liberia civil war,Guinea Bissau nacro state,liberia vs sierra leone war na hapo mzungu au wachina wameshawajulia sasa
Mwafrika anaweza kupigana na Mwafrika mwenzie kisa kuligombania Taifa la Israel ambalo hata halimuhusu hata kidogo ni ujinga na mwaafrika anaamini israel ni Taifa la Mungu kwahiyo haya Mataifa mengine ni ya shetani? Yaani when you come into religion yaani Mwafrika hatumii akili hata kidogo yaani hata robo ya akili je waAfrika ni laana au wameharibiwa mindset na watu weupe na hao hao waafrika wakadanganywa na watu weupe au wazungu eti kuoa mwanamke zaidi ya mmoja ni dhambi huu ni ujinga wa kiwango cha lami je waAfrika tumeshindwa kutengeneza identity yetu?
Mwaafrika anajiona kupata GPA above 4.5 kwa mfumo wa elimu ya kikoloni au kizungu ni ujanja kumbe ni elimu ya kukalilishwa tu! Poor Afrika.
Mwafrika ni mtu wa kupangiwa tu hata Elimu yetu ni ya kupangiwa tu wala mwafrika usijione mjanja kwa vitu ambavyo wewe umepangiwa tu na Mwafrika ni kw
mtu ambae anaishi jwa maelezo tu yaani mwafrika anaishi kwa maelezo ya kupangiwa na bwana zao wazungu au wachina
Mwafrika ni race ambayo ina roho mbaya, husuda,wivu na hasidi mwafrika anaweza kumuua mwafrika mwenzie kwa Tamaa ya mali na madaraka rejelea liberia civil war,Guinea Bissau nacro state,liberia vs sierra leone war na hapo mzungu au wachina wameshawajulia sasa
Mwafrika anaweza kupigana na Mwafrika mwenzie kisa kuligombania Taifa la Israel ambalo hata halimuhusu hata kidogo ni ujinga na mwaafrika anaamini israel ni Taifa la Mungu kwahiyo haya Mataifa mengine ni ya shetani? Yaani when you come into religion yaani Mwafrika hatumii akili hata kidogo yaani hata robo ya akili je waAfrika ni laana au wameharibiwa mindset na watu weupe na hao hao waafrika wakadanganywa na watu weupe au wazungu eti kuoa mwanamke zaidi ya mmoja ni dhambi huu ni ujinga wa kiwango cha lami je waAfrika tumeshindwa kutengeneza identity yetu?
Mwaafrika anajiona kupata GPA above 4.5 kwa mfumo wa elimu ya kikoloni au kizungu ni ujanja kumbe ni elimu ya kukalilishwa tu! Poor Afrika.