Hivi idara kuu utumishi kuna nini

Hivi idara kuu utumishi kuna nini

Maswavilla

Member
Joined
Jun 19, 2015
Posts
6
Reaction score
2
Wadau naomba mnipe uzowefu wenu hivi inakuwaje utumishi anahama kutoka Almashauri moja kwenda nyingine huku Lawson inaendelea kusomeka yupo Almashauri ile ile ya mwanzo zaidi ya miezi mitatu huku ma Afisa Utumishi wapo wa Idala ya Makao Makuu huku watumishi wakiendelea kuteseka tu,kwani hata utumishi usika akienda benki hawezi kukopa kwani kwenye mtandao wa mishahara ya Almashauri usika yaani Lawson hataonekana!Naombeni mawazo yenu wadau inamchukua mda gani Afisa Utumishi wa Utumishi makao makuu kuingiza data au Ku approve data kwenye system?
 
Almashauri=Halmashauri
Idala=Idara
Usika=Husika
Wakati mwingine ukiweka bandiko lako, uwe makini na maneno/matamshi yako.......
 
shida vijana wengi hamfuati taratibu za kukamilisha uhamisho. ukipewa barua tu ya uhamisho unaondoka. Rudi Halmashauri yako ya awali uwambie tatizo, watakwambia ulipo bugi, au mfuate afisa utumishi ukiwa na vielelezo vyote vya uhamisho na data sheet ulizofungashiwa wakati ukihama
 
System design na mazingira ya Kazi not friendly Sana.
Few servers.
Few trained person to access the system.
Staged Authorization.
Limited access ports.
System Down.
 
Back
Top Bottom