Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,644
Mwanakondoo ameshinda,
Bilashaka mu wazima wana MMU (akiwemo Mshana Jr, Kantwe, Depal, KENZY etc ) mimi pia sijambo sema najisikia kauchovu kwa mbaali kutokana na safari iliyonitoa Mwanza kuja hapa Arusha kwa mambo ya kimpira na kisiasa, nadhani ndio sababu ya huu uchovu. Wakati nipo Mwanza nilikuwa nawasiliana mara kwa mara na shemeji yangu ambaye ameolewa na rafiki yangu (rafiki tangu tu watoto), na wote wapo Arusha 'kimakazi', bidada anafanyakazi katika benki fulani hapa Arusha. Ila rafiki yangu yeye yupo selikarini (kazi yake naihifadhi).
Kwanza nikiri baadhi ya member wa JF, nilikuwa nawadharau (mnisamehe sana) walipokuwa wanaleta mada ambazo binafsi nilihisi wangeweza kufanya maamuzi wenyewe bila kuleta hapa jukwaani, ila nami leo yamenifika shingoni, nahitaji mawazo yenu.
Twende madani, Kiukweli shemeji yangu ni mzuri (cute), mrembo(beautiful), binti wa mitindo(stylish) na ni 'Mbulu' mimi huwa namwita 'Tingisha Jiji' huwa namsifia wazi wazi bila kuscrach, huwa mpaka namfananisha Irina Shyk(mchumba wa zamani wa CR7) ikafikia wakati hata akitaka kuweka 'whatsaap/IG profiles' ananishirikisha.
Mmh, Jana kulikuwa na matukio mawili makubwa ya kimichezo 1. Kilele cha wiki ya mwananchi 2. Ngao ya jamii (Simba v Namungo). Mimi ni wanachama,mnazi,shabiki wa Simba Sc na yeye na mmewe kwa pamoja ni mashabiki wa Dar Young Africans, mimi na yeye tulipingana kuhusu Simba Sc kuchukua Ngao ya Jamii, yeye akiamini haitachukua. Kiutani utani, akanambia atanipa 'penzi' kama Simba itashinda 'i.e ntamchakata' sikutilia maanani nilijua ni matani tu. Siku zikasonga sasa Jana baada ya siku kuisha nikapokea SMS yake leo asubuhi "Enhe hiii ndio tofauti kati ya Tamasha na Bonanza, ile issue tufanye lini , nijib plz?"
Kiukweli nimebaki njia panda, hapo naona kama amesifia 'kilele cha wiki ya mwananchi' kimbembe kipo hapo kwenye 'issue' sijui anamaanisha 'kugegedwa?!' Mpaka sasa sijamjibu.
karibu kwa ushauri na michango iliyo na staha. (maana beki hazikabi).
Bilashaka mu wazima wana MMU (akiwemo Mshana Jr, Kantwe, Depal, KENZY etc ) mimi pia sijambo sema najisikia kauchovu kwa mbaali kutokana na safari iliyonitoa Mwanza kuja hapa Arusha kwa mambo ya kimpira na kisiasa, nadhani ndio sababu ya huu uchovu. Wakati nipo Mwanza nilikuwa nawasiliana mara kwa mara na shemeji yangu ambaye ameolewa na rafiki yangu (rafiki tangu tu watoto), na wote wapo Arusha 'kimakazi', bidada anafanyakazi katika benki fulani hapa Arusha. Ila rafiki yangu yeye yupo selikarini (kazi yake naihifadhi).
Kwanza nikiri baadhi ya member wa JF, nilikuwa nawadharau (mnisamehe sana) walipokuwa wanaleta mada ambazo binafsi nilihisi wangeweza kufanya maamuzi wenyewe bila kuleta hapa jukwaani, ila nami leo yamenifika shingoni, nahitaji mawazo yenu.
Twende madani, Kiukweli shemeji yangu ni mzuri (cute), mrembo(beautiful), binti wa mitindo(stylish) na ni 'Mbulu' mimi huwa namwita 'Tingisha Jiji' huwa namsifia wazi wazi bila kuscrach, huwa mpaka namfananisha Irina Shyk(mchumba wa zamani wa CR7) ikafikia wakati hata akitaka kuweka 'whatsaap/IG profiles' ananishirikisha.
Mmh, Jana kulikuwa na matukio mawili makubwa ya kimichezo 1. Kilele cha wiki ya mwananchi 2. Ngao ya jamii (Simba v Namungo). Mimi ni wanachama,mnazi,shabiki wa Simba Sc na yeye na mmewe kwa pamoja ni mashabiki wa Dar Young Africans, mimi na yeye tulipingana kuhusu Simba Sc kuchukua Ngao ya Jamii, yeye akiamini haitachukua. Kiutani utani, akanambia atanipa 'penzi' kama Simba itashinda 'i.e ntamchakata' sikutilia maanani nilijua ni matani tu. Siku zikasonga sasa Jana baada ya siku kuisha nikapokea SMS yake leo asubuhi "Enhe hiii ndio tofauti kati ya Tamasha na Bonanza, ile issue tufanye lini , nijib plz?"
Kiukweli nimebaki njia panda, hapo naona kama amesifia 'kilele cha wiki ya mwananchi' kimbembe kipo hapo kwenye 'issue' sijui anamaanisha 'kugegedwa?!' Mpaka sasa sijamjibu.
karibu kwa ushauri na michango iliyo na staha. (maana beki hazikabi).