YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
We unazo za kutoa?Ndiyo maana wakiombwa hela wanapaniki
Weee k ww. Haya banaMie nalishwa bure na mume wangu, bundle nawekewa....Kazi yangu Kula kulala, na kulala tena.
We unazo za kutoa?Ndiyo maana wakiombwa hela wanapaniki
Weee k ww. Haya banaMie nalishwa bure na mume wangu, bundle nawekewa....Kazi yangu Kula kulala, na kulala tena.
Mkuu kuna wengine Wanatumia Ai Kuchart na iko Automatic na huwa hawali wala kunywa...Ajabu kuona kila time watu wana reply, watu wanachati hadi saa 6 usiku kucha.
Kila mtu ashinde match zakeKwani wamekuomba hela ya kula?

Tutatafuta kesho kutwa usijaliAjabu kuona kila time watu wana reply, watu wanachati hadi saa 6 usiku kucha.