Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Waungwana mnaofanya kazi serikalini hebu Tupeane Hints!! Nina mshkaji mmoja kila zinapotoka kazi za hazina ananishauri ni apply! with much Emphasis!! mbona huo mshara wa TGS D naona kama mdogo sana. hivi haya maisha nitayamudu kweli? just have a look!!
Monthly house rent....... Tshs 250,0000
fuel.................................... Tshs 180,0000
food.................................. Tshs 300,0000
others (viwalo, bia,..... ) Tshs 280,0000
Waungwana mnasemaje?
Monthly house rent....... Tshs 250,0000
fuel.................................... Tshs 180,0000
food.................................. Tshs 300,0000
others (viwalo, bia,..... ) Tshs 280,0000
Waungwana mnasemaje?