Hivi Hizi Picha ni za Kweli...?

Kwani huko mitaa ya kati walikuambiaje ni kweli au?. Waulize vizuri uje na maelezo kamili ni wapi na ni nchi gani ili nijitolee kutembea hiyo nchi na kujua kama ni kweli na mimi nitachukua Moving pictures sio still kama hizi ili kupata ukweli, vinginevyo itakuwa kama ni kujadili nchi ya "kusadikika"

Mitaa ya kati wamesema picha hizo ni kutoka kusini mwa bara la Afrika, na ukizingatia mimi ni mwafrika hivyo nikaingiwa na shauku ya kutaka kujua ni wapi ndio maana nikazileta hapa na kama utakuwa umenisoma vizuri nimetaka kuelimishwa.....Sasa kazi kwako....
 
At a glance you may be confused the above tree with a massive trunk with a 'Baobab'
tree (which is renowned to possess the largest tree trunks of the world) but, this is yet
another unknown specie which is seen in the close proximity of a hermitage deep in the
dense forest in 'Andra Pradesh' in India. Now have a close look at the bark and experience the unbelievable figures of creatures engraved in the surface
of the entire tree trunk!!
Question: Engraved by whom?
 
Mkuu JF ina mambo kuna jamaa alikuja na story kuna miwani ukiivaa basi unamwona mtu utupu wake hahaha nikioona hiyo post nitakupa, very interesting nikiona mtu mwenye miwani ya myeusi naogopa...


Ni kweli hizo mewani zipo na mimi nakubaliana na huyo jamaa hajakosea kabisa kusema hivyo ni ukweli ambao upoo
 
Katika pita pita zangu mitaa ya kati nimekutana na picha hizi. Nimeambiwa kuwa iko kusini mwa bara la Africa, nikaonelea ni vyema nizilete hapa ili niweze kuelimishwa......Hivi ni kweli mti/miti hii ipo kweli au ni kiini macho??

kwanza jifunze namna ya kupost picha

naona waliogoma kukuambia wanataka kulea ujinga

ipo sehemu kwenye hii forum inaitwa FAQ HEBU ISOME
 
kwanza jifunze namna ya kupost picha

naona waliogoma kukuambia wanataka kulea ujinga

ipo sehemu kwenye hii forum inaitwa FAQ HEBU ISOME

Nifundishe basi kama ni hodari wa kufundisha......

Pili nimezileta hapa ili kuuliza.......

Tatu sina muda wa kukusomea FAQ, nimeisoma kwa wakati na nafasi yangu....

Una jingine??
 
Yap most of them man made aither by adobe or by hand. Dont believ till you get the truth. Mwazange sio presda tu na jamaa wengine humu jf tuwaombe wakatuletee ukweli huo. Au tujaribu kupitia net kusearch may br tutapata truth tupe web uliopita na kuzikuta picha hizo mkuu Mwazange heshima mbele
 
Back
Top Bottom