FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 947
- 669
Ha ha ha jamaa wanapenda dezo wale
Hahahahaaaa....matani ya kweli huwa, ni matusi.Kama kweli wale wavivu wa kusoma wa suruali fupi lazima waandamane Dr Ndalichako ang'oke
Wewe ni mpu.....Kama kweli wale wavivu wa kusoma wa suruali fupi lazima waandamane Dr Ndalichako ang'oke
Enzi hizo A ilikuwa ni 81-100 Advanced level mkuuwewe kijana umetoa wapi huo mpangilio? au unahisi tu. huo mpangilio, ulitumika enzi zetu, tena kwa advanced level
Enzi zenu wapi? BRN hii hatar, ili useme habari za enzi, rudi nyumba ambapo A ilikuwa 81-100 na habari za matokeo yako zingekuwa tofautiHzo ndo zlikua grade za enzi zetu.. Na bado wanaume tukaondoka na banda za kutosha. Please dr.Ndalichako rudisha hii system ili hawa wanyoa viduku wapungue vyuoni huku.
Najivunia kusoma kipindi kile lakini natumaini viwango vitarejeshwa kama zamaniEnzi hizo A ilikuwa ni 81-100 Advanced level mkuu
Japokuwa umejitahidi kutumia tafsida ila acha dharau na kashfa kwa dini nyingne!Kama kweli wale wavivu wa kusoma wa suruali fupi lazima waandamane Dr Ndalichako ang'oke