FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,516
- 46,602
Katika kuangalia filamu mbalimbali za nchi za magharibi, nimegundua kwamba tatizo la kuombana ombana pesa kwenye mahusiano lipo hapa Tz tu, sidhani hata kama Kenya, Uganda au Rwanda wana haya mambo.
Jamani, mwanaume akiingia gharama za outing ambapo analipia usafiri (gari yake), chakula, vinywaji, hotel nk., itoshe! Sio kila siku mara kodi, mara nani sijui anaumwa, mara sijui nini, mara kusuka.., mara vocha.., kwani nyie pesa zenu mnapeleka wapi? Are you disabled?!
Kuna mtu anawakataza kwenda shule? Kuna mtu anawakataza msiombe ajira? Kuna mtu anawazuia msifungue biashara? Kila anachofanya mwanaume hata mwanamke anaweza kufanya, iwe ni kusoma , kuomba ajira au kufungua biashara, hata wanawake wanaweza, sasa iweje kwenye mahusiano muwe ni omba omba?! Whats wrong with u!!
Jamani, mwanaume akiingia gharama za outing ambapo analipia usafiri (gari yake), chakula, vinywaji, hotel nk., itoshe! Sio kila siku mara kodi, mara nani sijui anaumwa, mara sijui nini, mara kusuka.., mara vocha.., kwani nyie pesa zenu mnapeleka wapi? Are you disabled?!
Kuna mtu anawakataza kwenda shule? Kuna mtu anawakataza msiombe ajira? Kuna mtu anawazuia msifungue biashara? Kila anachofanya mwanaume hata mwanamke anaweza kufanya, iwe ni kusoma , kuomba ajira au kufungua biashara, hata wanawake wanaweza, sasa iweje kwenye mahusiano muwe ni omba omba?! Whats wrong with u!!