Mnaojua kifarasa hebu tusaidieni, humo ndani nimesikia wanajeshi wanalonga kiswahili, kifaransa sielewi lakini nafikiri kuna jeshi letu hapo. Hebu angalieni hadi mwisho.
Kama ni jeshi letu lipo hapo, basi nashauri jeshi livunjwe na wote wawe polisi.
Kung'uta link hii hapa chini
Kama ni jeshi letu lipo hapo, basi nashauri jeshi livunjwe na wote wawe polisi.
Kung'uta link hii hapa chini
Last edited by a moderator: