Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 8,390
- 10,465
Acha sisi tuendelee na akina Zuku kwaani muda huu niko hapa ilomba mby kwa kaka yangu yeye amelipia mwaka mzima tena premium
mmh we nawe jipu tena limeiva
Acha sisi tuendelee na akina Zuku kwaani muda huu niko hapa ilomba mby kwa kaka yangu yeye amelipia mwaka mzima tena premium
Vp azam?Nao pia mbona kifurushi kikiisha wanakata hadi local chanel?Nawakati sheria hairuhusu?
Kweli tunaibiwa na mhe Rais hili jipu tunaomba ulitumbue jipu hili. Bei za South zinapangwa kwa mwaka na hazibadiliki na wanalipa kwa Rand. Bei ya premium ni mara 2ya bei ya huku. Tunalipa kwa usd na kila siku bei zinapanda tuMe nawaza tu mwenyewe hapa je mtumbua majipu halioni hili la dstv kuwa ni jipu linalotunyonya sisi wananchi?
Maana wanakamua hela kuliko kodi ya Nyumba kwa mwezi na Salio likikata hata chanel za nchini za kawaida nazo hazionekani
aisee ni kweli. nilienda zenji na mtwara naona wanakula epl kwa kiarabu. sijui kwa Dar napataje huduma hiyo
vipi kuhusu kujitegemea!
aisee ni kweli. nilienda zenji na mtwara naona wanakula epl kwa kiarabu. sijui kwa Dar napataje huduma hiyo
kwani lazima utumie.soko huria kaka
aisee ni kweli. nilienda zenji na mtwara naona wanakula epl kwa kiarabu. sijui kwa Dar napataje huduma hiyo
Me nawaza tu mwenyewe hapa je mtumbua majipu halioni hili la dstv kuwa ni jipu linalotunyonya sisi wananchi?
Maana wanakamua hela kuliko kodi ya Nyumba kwa mwezi na Salio likikata hata chanel za nchini za kawaida nazo hazionekani
Tatizo ni kuwa wame monopolies soko, wako pekee yao tu, kwa hapa tz, kuna kipindi watu walikuwa wanapata kupitia tv fulani ya uarabuni wakagoma kabisa kuwa wao ndio wenye haki pekee ya kuonyesha ligi ya england, kusini mwa jangwa la sahara, nakweli, wakashinda, ila ni kwa dar tu ndio watu wanapata shida, ila kwa mikoani huduma ya cable inasaidia sana, na malipo yake hayazidi elfu 15,kwa mwezi.