Hivi hili jambo la vyeti linakaaje?

Hivi hili jambo la vyeti linakaaje?

benwise

Senior Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
101
Reaction score
78
Habari zenu wote humu.Kuna rafiki yangu anasoma kozi fulani kwa ngazi ya diploma kwenye chuo kimoja huko mkoani ambacho sio cha serikali.
Wakiwa wanaingia mwaka wa mwisho saiz wametakiwa kupeleka vyeti vyao original vya form four kwa ajili ya uhakiki na wanadai vinaenda necta kuhakikiwa na watarudishiwa mwakani wanavyomaliza.
Hivi jambo hili lipo kweli na linawezekana au kuna mchezo unaoendelea?kwa sababu tunajiuliza kama ikitokea ameachana na kozi ile akahitaji chuo kingine atafanyeje kwa suala la cheti na cheti kinarudi mwakani.Naomba wajuvi mnisaidie je jambo hili linawezekana au tunazungukwa na chuo hiki?
 
Mmh Hapana,Cheti ni Mali yako na kama huo utaratibu Upo Unamuweka muhusika katika hali ya wasi wasi Sana,
Ifanyike namna nyingine ya kuhakiki vyeti.
 
Lazima vyeti vihakikiwe na Necta.
Mmh Hapana,Cheti ni Mali yako na kama huo utaratibu Upo Unamuweka muhusika katika hali ya wasi wasi Sana,
Ifanyike namna nyingine ya kuhakiki vyeti.
 
Habari zenu wote humu.Kuna rafiki yangu anasoma kozi fulani kwa ngazi ya diploma kwenye chuo kimoja huko mkoani ambacho sio cha serikali.
Wakiwa wanaingia mwaka wa mwisho saiz wametakiwa kupeleka vyeti vyao original vya form four kwa ajili ya uhakiki na wanadai vinaenda necta kuhakikiwa na watarudishiwa mwakani wanavyomaliza.
Hivi jambo hili lipo kweli na linawezekana au kuna mchezo unaoendelea?kwa sababu tunajiuliza kama ikitokea ameachana na kozi ile akahitaji chuo kingine atafanyeje kwa suala la cheti na cheti kinarudi mwakani.Naomba wajuvi mnisaidie je jambo hili linawezekana au tunazungukwa na chuo hiki?
Si kweli hata kidogo na usitoe cheti chako kijingajinga hivyo.Uhakiki unafanyika hata hapohapo ulipo.baraza unapeleka namba tu na wao watathibitisha matokeo halisi na Kama cha kughushi utaambia.Jamani hamkuona zoezi la uhakiki? Vyeti vinavyotumika sehemu zaidi ya mbili pia utaambiwa na Baraza.
 
Si kweli hata kidogo na usitoe cheti chako kijingajinga hivyo.Uhakiki unafanyika hata hapohapo ulipo.baraza unapeleka namba tu na wao watathibitisha matokeo halisi na Kama cha kughushi utaambia.Jamani hamkuona zoezi la uhakiki? Vyeti vinavyotumika sehemu zaidi ya mbili pia utaambiwa na Baraza.
nashukuru ndugu,coz tulikuwa njiapanda kujua ukweli katika hilo
 
Kila cheti kina namba yake.. Usijiroge ukampa mtu yeyote cheti chako.
 
Mi mwenyew kioi
Habari zenu wote humu.Kuna rafiki yangu anasoma kozi fulani kwa ngazi ya diploma kwenye chuo kimoja huko mkoani ambacho sio cha serikali.
Wakiwa wanaingia mwaka wa mwisho saiz wametakiwa kupeleka vyeti vyao original vya form four kwa ajili ya uhakiki na wanadai vinaenda necta kuhakikiwa na watarudishiwa mwakani wanavyomaliza.
Hivi jambo hili lipo kweli na linawezekana au kuna mchezo unaoendelea?kwa sababu tunajiuliza kama ikitokea ameachana na kozi ile akahitaji chuo kingine atafanyeje kwa suala la cheti na cheti kinarudi mwakani.Naomba wajuvi mnisaidie je jambo hili linawezekana au tunazungukwa na chuo hiki?
Mi mwenyew kipindi nipo chuo nacte walihitaji vyet kwa ajiki ya uhakiki vilipelekwa nacte vilirudishwa baada ya mwezi mmoja ,ila hio ya kurudishiwa vyet mwakan mi naona hapo ni uwongo kabsa aseee!ni kitu ambacho hakiwezekani .
 
Back
Top Bottom