Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Iwe adhoc,planned au vinginevyo,marehemu alikuwa mzuri kwenye lugha ya kuja na jahazi.Sijaongelea anapoongea kwa ku-be planned,nazungumzia kuutema ung'eng'e hata kwenye normal situation.

Hizo interviews zake zilikuwa adhok au planned? Ukishapata majibu ya hayo utajua kuwa anything planned has deceiving tendency.
 
Kazi hakuna na ukiajiriwa hawakuchukii kama acturial unaenda kafanya kazi za watu wa insurance kibongobongo hii koz michosho yahn bado sana
Umepata kazi? Hii ni ngumu sana lakini upatikanaji wa kazi wake pia ni mgumu hata huku nilipo. Masaa ya kufanya kazi pia ni mengi tofauti na kazi nyingine.

Mimi kwenye kazi nimeswitch nafanya kama "data analyst". Niliona ni mapema sana kuspecialized kwenye my career.
Kwa mwanzo tunapambania maslahi career tunaweka kando. Tukishakuwa na misingi mizuri ndio tunaingia kwenye career.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlikuwa mnamcheka Dr wa maganda ya korosho au msemakweli ni mpenzi wa Mungu haya sasa huyo ni profesa semeni tena
 
Kakosea wapi au umekariri sound za filamu za kifilipino unataka mama aongee hivyo au ujui kuna east africa english ujui acheni ushamba wenu mama kakosea nini fluent inawadatisha mama anatoa sentensi zenye maana na hazina makosa kisarufi uko kuongea kwake kwa kustop stop ndio hajui au msimchukulie pouwa mama yupo vizuri
Tumekuelewa ndalichako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kajitahidi sana kuongea kizungu, tatizo ni mifumo yetu ya elimu ni mibovu, watoto tunapokuwa nyumbani ni kiswahili kwa kwenda mbele, tukifika shuleni (sekondari) ni kiswahili kwa kwenda mbele tukiingia darasani ni Kiswanglish (kiswakinge) kwa kwenda mbereee, sasa ni lini tunaweza kuwa good at English??!🤣
acha kumtetea,kwa msomi yeyote aliyefikia ngazi ya uProfesa ni lazima awe anajua kiingereza kwa kusoma na kuongea kwa ufasaha.Vinginevyo ni janja janja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona yai lake lipo poa tu! Anaeleweka ... mama ndalichako kaa humuhumo ...
 
Kwa Linguist kama mimi, sioni tatizo hapo. Ninaona tatizo pale Mbongo anapolazimisha kuongea kama Mwingereza au Mmarekani. Kuongea broken ni sawa tu hasa pale hiyo lugha inapokuwa ni "Third Language" ya muongeaji.
 
Back
Top Bottom