Hivi hii shida ni naisolve vipi

Hivi hii shida ni naisolve vipi

Innocizy

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
1,736
Reaction score
1,056
3aa09efc10d661134e6bccbc39840796.jpg





Naombeni msaada Chief-Mkwawa Kang
 
Nimetumia njia zote ikiwemo kuclear cache, kuweka kisponji kidogo lakini bado
 
masaa 24 inakaa hivyo au kuna wakati inasoma wakati inakuja hivyo?
Sio muda wote. Ila unaweza tumia Kama nusu saa ikaja hivyo. Unarestart unakaa dk 25 inakuja hivyo tena.
Sikuingine unakaa whole day haijaja hivyo ila night unashangaa hio imekuja tena.
Nilisoma Sana solution zake Google na videos YouTube nimefanya kadhaa ila tatizo lipo.
Vipi hapa bongo naweza badili chip tray?
 
Tatizo hapo sim card haionekani yaani sim card huja ingiza vizuri hapo kuna vitu viwili sim card yako mbovu ama huko ndani kuna tatizo
Je Sim card nne zote zaweza kuwa mbovu???
 
Sio muda wote. Ila unaweza tumia Kama nusu saa ikaja hivyo. Unarestart unakaa dk 25 inakuja hivyo tena.
Sikuingine unakaa whole day haijaja hivyo ila night unashangaa hio imekuja tena.
Nilisoma Sana solution zake Google na videos YouTube nimefanya kadhaa ila tatizo lipo.
Vipi hapa bongo naweza badili chip tray?
ukiwa unachomeka hio line huhisi kama tray ya kuekea line imelegea?
 
line haijakaa vizuri hiyo... zima weka kwa umakini halaf washa!!!
mbona sio tatizo hilo!
 
Back
Top Bottom