Usipoachana na wake za watu uwe tayari kwa fedheha very soon,hope you know what i mean.
I understand what you mean anaweza akalazimika kuhama mji anaoishi hasa baada ya kugeuzwa mke.
Usipoachana na wake za watu uwe tayari kwa fedheha very soon,hope you know what i mean.
kwani hukujua MUosha Huoshwa?Hebu rudia kwa sauti hapo........ Mwili umenisisimka sana asee! Kumbe?