Hivi hii ni kawaida au?

Hivi hii ni kawaida au?

Sio mkavu!
Ehee!! Ni swimming pool ya kuogelea, ushauri wangu ni kwamba ebu jaribu, kumshawishi mwanaume akuaandae vizuri, ufike hata hatua ya kutakata, ukisha gundua, umetakata hebu, ingiza taratibu chane ya mtaalamu wako, kisha itoe fanya hivyo zaidi ya Mara mbili na kisha usitumie dodoki wakati wa kufua, kisha mwambie mtaalamu, akuswaki taraibu, asisugue kwa nguvu, uutaona mabadiliko, kama hamna, peleka kwa wataalam wakusaidi yawezekana una, mdomo mdogo alafu unatumia mswaki mkubwa tena unasugua kwa nguvu alafu hujaweka hata dawa ila pole
 
  • Thanks
Reactions: MC7
duh kila ukikutana na kitu kipya???
Ushamit na vingapi hadi sasa?
 
Ehee!! Ni swimming pool ya kuogelea, ushauri wangu ni kwamba ebu jaribu, kumshawishi mwanaume akuaandae vizuri, ufike hata hatua ya kutakata, ukisha gundua, umetakata hebu, ingiza taratibu chane ya mtaalamu wako, kisha itoe fanya hivyo zaidi ya Mara mbili na kisha usitumie dodoki wakati wa kufua, kisha mwambie mtaalamu, akuswaki taraibu, asisugue kwa nguvu, uutaona mabadiliko, kama hamna, peleka kwa wataalam wakusaidi yawezekana una, mdomo mdogo alafu unatumia mswaki mkubwa tena unasugua kwa nguvu alafu hujaweka hata dawa ila pole
Asante kwa ushauri wako!
 
Nadhan kuna tazizo mahali. Labda...
1. hauandaliwi vizuri..
2. Una uke mdogo unakutana na over size..
3. Una less fluid kwa hiyo unapata michubuko
4. Una matatizo kwenye uke wako...
Kati ya hayo yawezekana una shida mojawapo
 
Tatzo lako ni kwamba kila unaekutana nae ni afadhal ya jana
 
Duuu!!! Vitu vipya????😀 Vipya haviishi dada..baki na chazamani tu..
 
Habari!
Kila ninapokutana na mwanaume kwa mara ya kwanza hua inakua kama ndo anafungua njia! Inabidi aende polepole na hua nableed kidogo, baada ya hapo inakua kawaida ila panabana sana.
Nilimuuliza mtu akasema ni kawaida kila unapokutana na kitu kipya.
Hii hali ni ya kawaida au nina matatizo?
Nakupenda ukiwa hvyo
Yaan una kuwa na bk [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Habari!
Kila ninapokutana na mwanaume kwa mara ya kwanza hua inakua kama ndo anafungua njia! Inabidi aende polepole na hua nableed kidogo, baada ya hapo inakua kawaida ila panabana sana.
Nilimuuliza mtu akasema ni kawaida kila unapokutana na kitu kipya.
Hii hali ni ya kawaida au nina matatizo?
Unaonekana una kitu mnato
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom