Hivi hii ni kawaida au?

Hivi hii ni kawaida au?

Habari!
Kila ninapokutana na mwanaume kwa mara ya kwanza hua inakua kama ndo anafungua njia! Inabidi aende polepole na hua nableed kidogo, baada ya hapo inakua kawaida ila panabana sana.
Nilimuuliza mtu akasema ni kawaida kila unapokutana na kitu kipya
Hii hali ni ya kawaida au nina matatizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]!
 
Kitu kipya?? Kipya kinyemi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hili Tangazo umelipia? Halafu kama sio jukwaa Lake vile..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom