Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,044
- 1,999
Hello jf!!eti kuna galfriend wangu kanambia ''its Over'',kisa nina wk moja cjamtafuta kwenye cmu,wajameni hii ni sababu ya wa2 kuachana kweli?infact ye mwenyewe hajawah ntafuta,wala hata hajataka kuulza ukimya wangu ulikua ni kwa sababu gani,ye kanambia 2achane 2,hadi sa hzi cjamjbu chochote,je naweza ku2mia maneno gani ya busara kumwelewesha wakuu??