Hivi hii biashara bado ipo?

Hivi hii biashara bado ipo?

jina baya

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
573
Reaction score
380
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema.

Mwenye kujua hiii, naomba ani PM.

Karibuni.
 

Attachments

  • 1447394722942.jpg
    1447394722942.jpg
    117.7 KB · Views: 759
Inalipa kwa washirikina na waganga wa kienyeji ili kudanganya waliokata tamaa

Kweli mkuu watu wote ninaowafaham waliokuwa wanajihusisha na hii kitu ni wale waliokata tamaa, wamechoka alaf wabishi wakiamini kwa dhati kua ni biashara nzur kitu ambacho sio kweli.
naomba nisamehewe kwa wote walionifata pm wakitaka kujua zaid baada ya kukomenti hapo juu kwamba 'inalipa balaa, njoo pm' nilikoment hivyo sbb sikuona usiriazinesi wa mleta mada labda sbb ya uelewa wangu mdogo.

Mkuu Zanzibar spices naomba siku nikipata wasaa nikutembelee hasa kwaishu ya spices ninayo dream ya kuja kuifanya hiyo biashara siku za mbeleni Mungu akipenda.
 
Kweli mkuu watu wote ninaowafaham waliokuwa wanajihusisha na hii kitu ni wale waliokata tamaa, wamechoka alaf wabishi wakiamini kwa dhati kua ni biashara nzur kitu ambacho sio kweli.
naomba nisamehewe kwa wote walionifata pm wakitaka kujua zaid baada ya kukomenti hapo juu kwamba 'inalipa balaa, njoo pm' nilikoment hivyo sbb sikuona usiriazinesi wa mleta mada labda sbb ya uelewa wangu mdogo.

Mkuu Zanzibar spices naomba siku nikipata wasaa nikutembelee hasa kwaishu ya spices ninayo dream ya kuja kuifanya hiyo biashara siku za mbeleni Mungu akipenda.
Hahahaha,mkuu kweli umefunguka,Pmsssssss kibaoooooooooo

Chezea bongo watu walivyo rahisi kudanganywa kwenye maisha,hapo ndio utajua kwamba waganga wa kienyeji ndio killers wa Albino.
Uliwatega vizuri,kuna aina fulani ya hela eti ukiipata unakuwa tajiri,aisee watu acheni hizooo,tafuteni maisha kwa jasho lenu kihalali.Wengine mnauwa wake zenu,watoto zenu,wazazi wenu kwa maisha ya Mkato.

Mkuu karibu saana,na nikianza kusambaza Dar nitakutafuta mkuu ili tushauriane mambo ya soko nk.Maana sio kwamba binaadam tunajua kila kitu,hata Bakhresa na pesa zake zote anapewa michongo vile vile.Sasa naamini sana mawazo ya wenzangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom