Hivi haya yalikuwa mahaba au kejeli?

Hivi haya yalikuwa mahaba au kejeli?

Joined
Aug 12, 2013
Posts
10
Reaction score
2
Mbuzi.jpg
MBUZI WA KAFARA?

11951927_917580968301811_1479893769702811460_n.jpg
KWELI?


12032274_10153633296519328_2286576869335941828_n.jpg


HAWA NAO VIPI?

NIMEAMINI: Wabongo ni 'unbwogable' na 'they are very good at bwoging the bwogas'!
 
Kwa wengine ukishasema mahaba unajua ni pepo.linakemewa maramoja
 
sijui ngwajima ana hali gani huko aliko........ha ha ha,,,na yule mwenzake kakobe na unabii wake......


NI TABU.....
 
Sasa watazirai kikwelikweli.

Hahahaha!

Mkuu KVM, hii ya watu kuzimia katika eneo ambalo ni la wazi na kuna hewa ya kutosha, lilichekesha watu wengi. Maana yalikuwa ni mazingaombwe ya kiwango duni mpaka watu walishtukia.
 
Hahahaha!

Mkuu KVM, hii ya watu kuzimia katika eneo ambalo ni la wazi na kuna hewa ya kutosha, lilichekesha watu wengi. Maana yalikuwa ni mazingaombwe ya kiwango duni mpaka watu walishtukia.

Walidhani wakikodi watu wa kuzimia wataweza kushawishi watu kuwa wao ni maarufu na kuinfluence opinions za wapiga kura.
 
Hizo zilikua biti tu...
Sina shida na MaPadlock kuingia, infact napenda aingie..

Shida yangu ni moja tu... Hivi nani mwenye akili timamu kaenda kumpigia kura ANNA TIBAIJUKA arudi bungeni?? Kweli watanzania wameniacha hoi. Bongo ni ya kukimbia aisee
 
Hizo zilikua biti tu...
Sina shida na MaPadlock kuingia, infact napenda aingie..

Shida yangu ni moja tu... Hivi nani mwenye akili timamu kaenda kumpigia kura ANNA TIBAIJUKA arudi bungeni?? Kweli watanzania wameniacha hoi. Bongo ni ya kukimbia aisee
Na Wahaya ni kati ya makabila yenye wasomi wengi. May be anakubalika kwao na amewaletea maendeleo. Unafikiri wao ni wajinga kumchagua tena?
 
Na Wahaya ni kati ya makabila yenye wasomi wengi. May be anakubalika kwao na amewaletea maendeleo. Unafikiri wao ni wajinga kumchagua tena?

Hehe hiyo stereotype mtanzania, hakuna kitu kama "wahaya wasomi" ni stereotype tu yenye uongo mwingi ndani yake. Unless uje na very detailed data. Huyu mama walikua wanamzomea kwenye media, na skendo zake sioni sababu ya kumrudisha, i am very surprised, labda kama yupo humu anayetoka huko aliyempigia kura atupe sababu
 
Hali inatisha sana. Walijazana kuona Chopa lakini KURA wakampa #HapaKaziTu.

Wengine walimtia moyo wakadeki hadi barabara na wakamulinda pale alipokuwa analala pindi anafanya kampain lakin kura wamemnyima
na aliweza kuamini kuwa watampa kura zote
Loo!! Kwa hari hii lazima kumuume sana
Ila hana namna inabidi akubari kiroho safi.
 
Wengine walimtia moyo wakadeki hadi barabara na wakamulinda pale alipokuwa analala pindi anafanya kampain lakin kura wamemnyima
na aliweza kuamini kuwa watampa kura zote
Loo!! Kwa hari hii lazima kumuume sana
Ila hana namna inabidi akubari kiroho safi.

Hao ndio WaTZ Mkuu atakupa yote lake (la moyoni) hakupi
 
Back
Top Bottom