Kuna mpumbavu mmoja wa sisiemu alisema yatkua mabwawa ya ufugia samaki na pia vivutio vya utalii,mapumbavu kama haya kule kwa wenzetu walioendelea niokupiga risasi ya kicha tu,alakini hapa bongo wabunge wa sisiemu watapiga makofi nusu saa ,hii laana haitowaacha sisiemu,mmelaaniwa sisiemu wote.
bora tungeachiwa hayo mashimo nasi tukaonyesha shule,vyuo,barabara,hospital za kisasa zilizojengwa na wachimbaji wageni