fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,647
Niaje wakuu hivi yale mafuta wanayopakaga usoni kwenye scrub yanaitwaje....? nna shida nayo sana mwenye kujua msaada na hata ukijua bei zake itakua poa sana msaada wakuu.
Bei yake inagusa kwenye sh ngapi mkuu.Scruber!
semper fidelis
Au kma una picha yak mkuu msaada piaaScruber!
semper fidelis
Ahsante sana mkuuZiko face scrub na body scrub za aina nyingi mkuu ni vizuri hasa ukajua unataka ipi ndio unaweza kusaidika bei.
Kwa kuanzia ngoja nikupe scrub ya asili
Kijiko kikubwa sukari ya brown + kijiko kikubwa mafuta ya nazi + asali
Changanya vyote sugua uso wako taratibu uache kwa dk 15-20 unawe na maji ya vuguvugu,kisha umalizie na ya baridi ili kufunga vitundu vya ngozi, Mbadala wa sukari unaweza tumia chumvi ni nzuri pia.
Natumaini nimekusaidia kidogo.
Inauzwa bei gani mkuu au kama una picha yake msaadaApricot scrub!
Nenda tu duka la vipodozi watakuuzia.. Unaweza kupata ya 10k -15K kutegemea na ukubwa wa kopo.Inauzwa bei gani mkuu au kama una picha yake msaada
Asante sana mkuuNenda tu duka la vipodozi watakuuzia.. Unaweza kupata ya 10k -15K kutegemea na ukubwa wa kopo.
Niaje wakuu hivi yale mafuta wanayopakaga usoni kwenye scrub yanaitwaje....? nna shida nayo sana mwenye kujua msaada na hata ukijua bei zake itakua poa sana msaada wakuu.
Bei gani hiyo inauzwa mkuuNunua brembo mkuu, hutojutia hela yako.