Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,980
- 14,745
Mim nilikuwa mzee wa kichaka ile mbaya, sasa hivi nipo zangu "napiga zangu mzingo huku Mbuga za wanyama huku serengeti nawasalimu sana ndugu zangu"
Naaaaam tupo pamoja mkuu,heshima kwakoMim nilikuwa mzee wa kichaka ile mbaya, sasa hivi nipo zangu "napiga zangu mzingo huku Mbuga za wanyama huku serengeti nawasalimu sana ndugu zangu"
Pole mkuu!Hii ni thread ya majungu
Pole mkuu!Hii ni thread ya majungu
Naamini salamu zitakuwa zimewafikia huko walipo na wakirudi watatujuza nini kinachoendelea hukoWale mliokuwa viranja wa msosi nawasalimia. Maisha yanaendaje Serena, Bilila Kempisky, Mount Meru etc?
Naamini salamu zitakuwa zimewafikia huko walipo na wakirudi watatujuza nini kinachoendelea hukoWale mliokuwa viranja wa msosi nawasalimia. Maisha yanaendaje Serena, Bilila Kempisky, Mount Meru etc?
Ukashindwa kumuuliza ukaona utoe na jibu kabisaaa hahaaaaWakuu
Baada ya kutuma salamu zangu.sasa nawaletea ushuhuda
Wakati nasoma o level kuna boya alijidai sana shule kunoga .meza amejaza vitabu na daftari anatumia meza mbili peke yake
Na ma sifa mengi.unakuta muda wa break umefika ila yeye anaendelea tu kuuliza maswali
Basi bwana tukamaliza akatoka na div 1 mimi na jamaa zangu div 2
Kufika advance yule mjinga alipata division 0
kama ulikuwa kwenye mawazo yangu mkuu....Wale mliokuwa viranja wa msosi nawasalimia. Maisha yanaendaje Serena, Bilila Kempisky, Mount Meru etc?
Mungu anakuonaaa wee uliyeandika postii hiiiHivi wale mliokuwa mnakaa chooni shuleni muda wa vipindi mnafanya kazi sasa hivi?
Hivi Vipi wale chairperson wa debates mashuleni sasa hivi hapo Shirika la utangazaji la BBC na CNN midahalo inaendaje???
Hivi wale mliokuwa mnakomaa kwenye debate mpaka macho yanakuwa mekundu kwamba Education is better than money bado mna huo msimamo au,,!
Hivi wale mliokuwa viongozi wa ulinzi vipi hapo Usalama wa Taifa mambo yanaendaje.
Ongezea uwezavyo mpaka hawa watu tuwapate
Hahahah na kweli ameshaniona..Mungu anakuonaaa wee uliyeandika postii hiii
Taarifa yakooo walee wa chooni ndio wako mjini wamefanikiwa mifyezaaaaaa
Naamini huko walipo wanafanya kazi kwa viwango vya aina yakeWale wazee wa Chabo kazi za Umanamba zinaendeleaje huko viwandani maana mlikuwa hamtaki kushughulisha akili zenu
WatarejeaWale watemi / watabe darasani hali ikoje huko Ukonga, Segerea, Isanga , Keko...???
Watakuja mkuu.Wale waliosoma Divinity sijui watakuwa wapi saa hii?
..amezipata mkuuKuna jamaa mmoja tulivyokuwa primary kazi yake ilikuwa ni kuleta viboko, fimbo aka mbalati. Kwa ss jamaa ni polisi hana hata nyota. Nae namsalimia