Hivi hawa wanawake wanataka nini?

ya message imefanya kazi kwangu mkuu.

Alikuwa anazingua sana yaani amani sipati , nkakutana na wazee kijiwe flan cha kahawa mara wakaanza kuongelea namna ya kuishi na hawa viumbe.

Nkatafuta lidem moko linalonielewaga nkaanza kulichatisha alafu text sifuti , paapa whatsapp , Nkamwomba atume nyuchi akatuma , .

Kaomba simu nkamwachiaa 😂😂😂😂 alikuwa analia hatari yaani ananiuliza nimekosa nn me kimya tuu, akanambia tuachane nkamwambia powa .

Juzi kaja nimemkaza hatari sasa hivi mapenzi motooooooooo .
 
Sasa yeye ndio ataki au wewe hutaki kuacha
 
Huyo yupo nawewe coz unamtimizia mahitaji yake but hakupendi...kuna anempenda ila hawezi kumpata ndomana anakuganda
 
Umri wako mkuu na wa kuyo mwanamke tafadhali ??

Ikiwezekana nitumie namba yke pm nijaribu kujua sabb mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…