Hivi hawa wanawake wanataka nini?

Dah..una mawili tu hapo ya kuchagua..na uchague moja...ama...piga chini huyo dem ..au piga simu namba 0713 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Dah..una mawili tu hapo ya kuchagua..na uchague moja...ama...piga chini huyo dem ..au piga simu namba 0713 [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
huu NDIO ushauri wa Kirohombaya
 
Huyu either alilelewa na Single mother ndo maana anajikuta kujiamini kama kote lakini Ukiona ukimpoteze anaanza kulilia bhasi kajua wewe huwezi kumuacha yani kiufupi kakuteka...!! Fanya siku moja akute msg za mwenzake mkiwa mnachat utaona heshima yakee japo mademu maneno ya shombo kawaida yao mwisho wa siku akili zikimjia hasa ukimkunaa vizuri anakaa sawa mbona..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mna umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…