David Peter Sembosi
Member
- Jun 29, 2013
- 38
- 1
Quote from"TIGO","Samahani ndugu mteja,namba yako haijasajiliwa,tafadhali tembelea ofisi zetu zilizo karibu nawe kabla ya July15 ili kuepuka kufungiwa laini yako.".Sasa mbona nilishasajili tangia mwaka juzi kwenye ofisi hizo izo,so siwaelewi wanamaana gani.