Hivi hawa wameweza nini, na wanasonga kwenda wapi?

Hivi hawa wameweza nini, na wanasonga kwenda wapi?

Hii ndio gharama ya umasikini wa akili. Hawa wanalipia t-shirt na kanga za bure walizopewa. Haiwezekani katika akili ya kawaida wewe ubebe bango lenye ujumbe huo mbele ya watu walioonyesha sura za kukata tamaa nanma hii
 
Hao wameshakunja mshiko, hapo wanatekeleza matakwa ya chama chao na si kutoka moyoni mwao
 
Huoni wamepata kanga,fulana na wana ahadi nyingi tu ambazo wamepewa?Hivyo wameweza
 
Unafanya mchezo na Fulana za kijani na Vitenge vya Wax
 
Back
Top Bottom