Hivi hawa wakiamua si wanaweza?

Hivi hawa wakiamua si wanaweza?

Imenikumbusha stori ya wavuta bangi watatu kichakani walioishiwa kibiriti wakamtuma mwenzao kwenda kutafuta maana mzigo wa bangi ulikua mwingi...mwenzao akazunguukaaa weee akajikuta katokea palepale wenzake walipokaa akawauliza masela mnakiberiti? Wakamjibu hata sisi kimeisha tumemtuma jamaa kutafuta. Nae akasema wacha basi namimi nisubirie..akakaa
Hahaha
 
Back
Top Bottom