maandishi makubwa mekundu tafadhali,,,, hata MBOWE na SLAA wanamuogopa????Watu wa chama chake na wao wanalalamika pembeni bila ya kumfesi mhusika tena hawathubutu hata kumtaja jina kama mwanzisha mada alivyoogopa kumtaja jina.
Kuna kitu si cha kawaida kwa Lowasa, kwa nini anaogopwa na kila mtu hapa nchini?
Hadi mwenyekiti wa chama chake anamwogopa.
Hahaaaaaaa,teh,teh,teh hiyo ni pembe tatu ya waoga safi mkuu.Watu wa chama chake na wao wanalalamika pembeni bila ya kumfesi mhusika tena hawathubutu hata kumtaja jina kama mwanzisha mada alivyoogopa kumtaja jina.
Kuna kitu si cha kawaida kwa Lowasa, kwa nini anaogopwa na kila mtu hapa nchini?
Hadi mwenyekiti wa chama chake anamwogopa.
Lakini kwa upande mwengine viongozi wa dini nao wanapaswa kulaumiwa kweli.Viongozi wa dini wanaonekana kutochukua tahadhari kwenye mahusiano yao na wanasiasa mwishowe huishia kutumiwa na baadae kubakia kulalamika. Kuna kamsemo nasikia watu wakikasema sema eti "There is no free lunch in this world!" Haka kamsemo kama kana uhalisia. Anaekubali kutumia shauri yake.
Kuna wakati nilitaka kuwa upande wake
Nimegundua ana maneno machafu sana
Ana jeuri ya pesa alizotuibia.
Kuna wakati nilitaka kuwa upande wake
Nimegundua ana maneno machafu sana
Ana jeuri ya pesa alizotuibia.
Ni Sumaye tu anayethubutu kukemea lakini hata yeye anaogopa kumtaja mhusika kwa jina.Watu wa chama chake na wao wanalalamika pembeni bila ya kumfesi mhusika tena hawathubutu hata kumtaja jina kama mwanzisha mada alivyoogopa kumtaja jina.
Kuna kitu si cha kawaida kwa Lowasa, kwa nini anaogopwa na kila mtu hapa nchini?
Hadi mwenyekiti wa chama chake anamwogopa.
Ooops! yani unataka kuniambia kuna uwezekano chama chake kikamuamini na kumsimamisha yeye katika nafasi ya urais?