Hivi Hatumuoni Huyu......! au yuko sawa?

Hivi Hatumuoni Huyu......! au yuko sawa?

Kama CCM wenyewe wanagwaya kumuita Waziri Mkuu ALIYEJIUZURU na wanamsafisha kwa kumuita waziri mkuu MSTAAFU nani ndani ya CCM ataweza kum-face. Wote CCM watabaki kuzunguka MBUYU. Lakini hatima yake tunayo sisi Watanzania. kama tutawategemea CCM we''re completely fnish! mark my words.

The only thing to stop this GUY ni kama CCM itaona kwa kila dalili kwamba Watanzania HATUMTAKI, ndiyo itakuwa salama yetu, kwani CCM haitamsimisha

Hata huyu jamaa alikuja na single yake ya siku 90 na kuiimba majukwaani lakini sasa hivi kimyaa! Kahamia kwa Dr Slaa. Ni ukweli uliowazi kuwa ndani ya CCM wanamgwaya sana. ImageUploadedByJamiiForums1373292956.685822.jpg
 
maandishi makubwa mekundu tafadhali,,,, hata MBOWE na SLAA wanamuogopa????
hata wewe unamuogopa?????
soryy!! mimi simuogopi ial namuheshimu sanaaaa

Heri wewe unamheshimu,mimi SIMUOGOPI na wala SIMHESHIMU kabisa,ni kati ya watu ninaowadharau sana
hapa Tanzania'
 
Lakini kwa upande mwengine viongozi wa dini nao wanapaswa kulaumiwa kweli.Viongozi wa dini wanaonekana kutochukua tahadhari kwenye mahusiano yao na wanasiasa mwishowe huishia kutumiwa na baadae kubakia kulalamika. Kuna kamsemo nasikia watu wakikasema sema eti "There is no free lunch in this world!" Haka kamsemo kama kana uhalisia. Anaekubali kutumia shauri yake.
Betlehemu unajua wenzake nao wameshaanz kuelekea huko. Si siku nyingi zilizopita Waziri Mkuu mmoja mstaafu alilalamikia haya Kanisani mble ya askofu na waumini, lakini naye alikuwa akichangisha na kuchangia pesa! Nakubaliana nawe tuwalaumu zaidi viongozi wa dini kwa kuruhusu haya kufanyika.
 
Huko anakochangia anajipeleka mwenyewe au anaombwa mchango kama sisi wengine kina kapuku tunavyoombwa? Maana sote tunaombwa michango kwa namna mbalimbali, na kwenye harambee michango yote huwekwa hadharani hasa ile ya jukwaani pale. Sasa huyu unayemsema kakosea wapi? Na wanaochangisha wanajua pa kuomba mchango. Fund raising ni skill, na walio na skill hii wako very strategic, hawaaliki tu watu wa kuja kujaza jukwaa! Hizi speculations nyingine naona kama watu wengine wanaanza kuwa paranoid bila sababu.
 
Kama CCM wenyewe wanagwaya kumuita Waziri Mkuu ALIYEJIUZURU na wanamsafisha kwa kumuita waziri mkuu MSTAAFU nani ndani ya CCM ataweza kum-face. Wote CCM watabaki kuzunguka MBUYU. Lakini hatima yake tunayo sisi Watanzania. kama tutawategemea CCM we''re completely fnish! mark my words.

The only thing to stop this GUY ni kama CCM itaona kwa kila dalili kwamba Watanzania HATUMTAKI, ndiyo itakuwa salama yetu, kwani CCM haitamsimisha

Hata huyu jamaa alikuja na single yake ya siku 90 na kuiimba majukwaani lakini sasa hivi kimyaa! Kahamia kwa Dr Slaa. Ni ukweli uliowazi kuwa ndani ya CCM wanamgwaya sana.View attachment 101331
 
Jamani eeh, mwachieni achangie wenye kuhitaji wanaomwomba wenyewe. Kama nyie wengine hamna shida basi nyamazeni wenye shida wasaidiwe. Wivu wa nini? Au kiroho kinawauma kuwa mwenzenu anapendwa na atapendwa zaidi? Kama na nyie mnataka katoeni michango, kama hamuwezi acheni wivu. Mkiambiwa toeni ushahidi alikoiba, nendeni basi mkamshitaki, nyie mnakalia tu kuropoka mitandaoni! Mwenzenu anatumia rasilmali zake kutoa misaada, we ambaye hutaki msaada usichukue. Kwani ni kanuni au sheria ipi aliyovunja au kukiuka?
 
Nasema, acheni kelele, huyu mtu hata angetaka leo, huo uraisi, atapewa tena kwa kishindo. Ile fedha tuliomlipa kwa umeme hewa (Richmond) ni vikapu viliibebe. Kwa siku, nilisikia ni Tshs. 150 m. Naogopa kuandika hizo namba kwani sijui ni zero ngapi. Alilipwa kwa siku 180. Huko anakozigawa kusafisha jina tu. Siku ikifika, akaamua kutoa mgawo wa siku 1 tu yaani Tshs. 150m, hila mtz atawekewa mkononi 3m. Hivi wewe, na njaa hii iliopo, kama watu huuza kura kwa kula sahani 1 tu ya pilao mbichi, sijui kama nayajua mahesabu vizuri, lakini rais mpya wa Tz 2015 anajulikana. Samahani wana JF msini block. Nilikuwa naota mchana tuu. Njaa banaaaa
 
huyu mtu ni hatari sana. dawa yake tuendelee kupiga elimu ya uria hadi vijjijini, maana pesa inafanya ushawishi kwa watu wasio na uelewa wa haki zao za kupata kiongozi anayeweza kuleta maendele. watanzania tuamke hasa ccm viongozi wenye tija hawapatikani kwa fedha.
 
Kibaya zaidi anasema anachangiwa na marafiki zake ambao hawaweki wazi
kuwa ni akina nani. Hivi kuna mfanyabiashara yeyote duniani anatoa fedha
yake bureeeeee!! Thubutu!!!!!! watanzania wakifanya makosa 2015 watajuta
 
ni hatari kwa afya ya nchi hii ila sijui kwa nini hata chama chake hakichukui hatua ya kuepusha madhara tunayo yaona sisi great thinkers wa jf.


Kuna kauli iliwahi kusemwa "Ukimwaga ugali nami namwaga mboga" Hivi unadhani nani yuko tayari kumwaga ugali? na nani yuko tayari kumwagiwa mboga zake? na vikishamwagwa nani yuko tayari kulala njaa na kudhalilika?
 
Mimi nadhani tuwalaumu viongozi wetu wa kidini. Ni kwa nini makanisa na misikiti wanamwalika na kupokea hizo hela zake za ufisadi? Viongozi wote wa kidini wanafiki na ndiyo wanaotuletea ushetani nchini mwetu! (inakera sana!). Taifa letu litabakia la kinafikinafiki na la vizabizabina!
 
Hajawahi kuomba kwenda huko lakini hualikwa, hata we we kama una ishu mwalike tu hana ajizi atakuja tu. Tuache umbea ktk hili. Jamaa anafanya kazi nzuri sana.

huyu mtu aliambiwa na TB joshua arudishe mali alizowaibia watanzania ndio anaweza akaunusa urais.huyu mtu ni damn reach.
 
Huu ni mpango mkakati wa ccm kuwatumia viongozi wa dini.Kwa taarifa tu viongozi wa dini zote wamekuwa wakiitwa dsm na kikwete na makamanda wake wa polisi kwa kuzuga wanakuja kuongelea amani ya nchi na wanafikishiwa maeneo ya ufahari na bahasha kubwa na nauli za ndege lkn kinachoandaliwa ni siasa chafu za ccm,na mie nimemuomba kiongozi wangu ya dini yetu awe ananipa kila mpango na nitakuwa naweka humu ili kuzuia hawa watu wasituingize kwenye dini uchafu huu
 
Lowassa ni janga la Taifa na wa kuogopwa kama ukoma!!!!

Kama magamba mnabisha,basi mwacheni atambe mpaka 2015 halafu mtajua matokeo yake!!! Huyu jamaa alishajichafua tangu alipojiuzulu uwaziri mkuu. Kwa msingi huo alishakuwa disqualified kwenye kuwania nafasi yoyote hapa nchini unless kama ni kwa rushwa au kwa kulazimisha kutumia mtutu wa bunduki!!!

Hakuna mtanzania aliye mzalendo.mwaminifu, na mpenda amani atakayekubali kumpa urais edward lowassa labda iwe urahisi!

Hivi tanzania hakuna watu wenye sifa ya kuongoza nchi hii mpaka watu wamchague fisadi edward lowassa???no way!

Lowassa ache aendelee kuomba "kula" na lakini ''kura'' za watanzania hatazipata ng'o!!!

Onyo kwa ccm:
kama mtampendekeza edward lowassa kuwa mgombea wa urais basi mtegemee kile kinachoendelea huko misri kwa sasa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom