ACADEMIA TODAY
Senior Member
- Jun 7, 2013
- 179
- 86
huyu jamaa ana nguvu ya ziada.
kumbukeni aliwahi kukiri hadharani kuwa yeye na JK hawajakutana barabarani
inawezekana kabisa anamuogopa na ana sababu kuu na ya msingi ya kumuogopa.
but all in all, hatima ya nchi yetu bado ipo mikononi mwetu sisi wananchi kwa kiasi kikubwa
tutumie vizuri nafasi ya kuchagua kiongozi mwenye sifa na maadili. sio fisadi mmwaga mapesa katika majumba ya ibada.
kumbukeni aliwahi kukiri hadharani kuwa yeye na JK hawajakutana barabarani
inawezekana kabisa anamuogopa na ana sababu kuu na ya msingi ya kumuogopa.
but all in all, hatima ya nchi yetu bado ipo mikononi mwetu sisi wananchi kwa kiasi kikubwa
tutumie vizuri nafasi ya kuchagua kiongozi mwenye sifa na maadili. sio fisadi mmwaga mapesa katika majumba ya ibada.