Hivi hapa nifanyaje?

Hivi hapa nifanyaje?

Nyamuleha jr

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
185
Reaction score
65
Kuna rafiki wakike nimekuwa naye kwa miezi mi 4 sasa ilasijawahi kuwa na mahusano naye ya kimapenzi na wala katika maongezi yetu hatujawahi kuulizana mambo ya mapenzi, ila ishara saa nyingine tunazofanyiana kama kushikana mkono tunapotembea, kumaind kama ajakutakia gmorning au g9t, au haiwezekani haijapita sikuhatuja onana marafiki zangu wanamjua na mimi marafiki zake wananijua sikuhizi nikimuona amesimama na mshikaji mwngne kama kiroho kinaniuma hivi na hata naye huwa anamind sema anajidaigi mgumu maana kunasiku kanitext nimekuona umesimama na mtoto nika muuliza uko wapi akaniambia nimekupita sema nimeona nisikuharibie ilichukuwa tyme sana hadi kuelewa siyo demu wangu, sasa sikuizi washkaji zangu wamekuwa wakiniita mimi domo zege, na wakati demu mimi sina mpango naye sina future naye ilawashikaji wananiambia nichakachue tu, ila naogopa mambo haya kuwa kweli atiniona domo zege na akikata sindiyo urafiki wetu utakuwa umeisha?
 
usiishi kwa matakwa ya wengine huku yako ukiyasaliti. ni bora uchukiwe na wengi kwa kusimamia kile unachoamini kwako ndio sahihi.
 
wee kijana wala usimtongoze...hapo ulipo ndio penyewe mwanawane yaani hapo papuchi unamega taratibu.

hizi unajua zinakuwa hivi.....mnaendelea siku atakutembelea na anza taratibu kujenga mazingira ya kuwa nyie wenyewe tuu nature itachukuwa nafasi yake na utajikuta mlishagegedana.....alafu akikuuliza so wats our relationship wee sema we frends aith benefits becoz sijakutongoza.

ukimtongoza tuu huyo ddmu umebugi.
 
Fanya vile moyo wako unavyopenda nasio watu wanavyopenda usije ukajuta baadae.
 
Acha hizo. Zina ni noma athabu duniani na ukesho pia. Fanya mipango ya ndoa dogo.
 
Kama nimeelewa vizuri Umesema ni rafiki yako wa kike na si mpenzi wako na mwisho umeandika kua huna mpango nae na huna future nae sasa iweje unataka kufuata ushauri wa rafiki zako wa kiume hivi kila rafiki wa kike wewe lazima umpitie basi una kazi sana ndugu yangu. Pole sana naona karibu unataka kuuvunja urafiki wenu .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom