Mani H
Senior Member
- Mar 25, 2011
- 180
- 46
Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa., mara ya mwisho kumwambia mkeo kuwa unampenda ni lini? wengine wakasema leo asubuhi, wengine muda sio mrefu. Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amuandikie mkewe sms amwambie nakupenda mke wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu ya mwenzake. majibu yalikuwa hivi:
1. unaota au?
2. umekumbwa na nini?
3.?
4. utanieleza hii sms ulikuwa unatuma kwa nani
5. leo sikusamehe najua kuna kitu.
6. huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?
7. najua tu tayari kuna kitu.
8. wewe sema unachotaka.
9. leo hunipati ng'o!
10. nani mwenzangu?
1. unaota au?
2. umekumbwa na nini?
3.?
4. utanieleza hii sms ulikuwa unatuma kwa nani
5. leo sikusamehe najua kuna kitu.
6. huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?
7. najua tu tayari kuna kitu.
8. wewe sema unachotaka.
9. leo hunipati ng'o!
10. nani mwenzangu?