Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Sikiliza maneno ya Mwalimu hasa hadithi ya Mgiriki ya kuweka serikali mfukoni (kuanzia dakika ya 22:30 mpaka 26:30).
Halafu sikiliza na ya mhe. RC wetu.
Hivi kuna tofauti kwenye haya mambo ingawaje moja ni rushwa na ili jingine bado hatujui, lakini ninachoangalia hapa ni kusema 'nina mengi namzidi hata mwenye cheo kuliko mimi serikalini, hata wakubwa wako wanitambua/ wanalitambua' (by RC) na 'kuweka serikali mfukoni' (by Giriki).
Video clip ya Mwalimu speech
Video clip ya RC wetu
https://www.jamiiforums.com/attachments/6e9babae-1055-49a8-a88b-2a51eeff8f34-mp4.1062235/
Halafu sikiliza na ya mhe. RC wetu.
Hivi kuna tofauti kwenye haya mambo ingawaje moja ni rushwa na ili jingine bado hatujui, lakini ninachoangalia hapa ni kusema 'nina mengi namzidi hata mwenye cheo kuliko mimi serikalini, hata wakubwa wako wanitambua/ wanalitambua' (by RC) na 'kuweka serikali mfukoni' (by Giriki).
Video clip ya Mwalimu speech
Video clip ya RC wetu
https://www.jamiiforums.com/attachments/6e9babae-1055-49a8-a88b-2a51eeff8f34-mp4.1062235/