Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,483
- 19,281
usinikumbushe mashine moja niliwahi kutana nayo enzi zangu, aisee sikuielewa hadi leo na huwa haitoki kichwani mwangu. nilitembea sana na wanawake waliozaa lakini sikuwahi kutana na ile kitu ya aina ile ilikuwa ya aina yake aisee. labda kama umezaa, wakati mwingine manesi roho mbaya huwa hawashoni vizuri. mimi mama watoto wangu nilikuwa karibu mno na manesi wananishonea mchanuko, nilisikia kabisa wanasema "tengeneza chakula cha baba icho" wakashona ikawa inabana kuliko hata kabla hajazaa. wanawake tunatakiwa kuwaheshimu sana.Mazoezi ya kegel yamefanywa lkn bado kitu ni kipana tu. Jogging imedunda pia.
Hivi hakunaga surgery ya kupunguza upana wa hii kitu?
N.B. Wale maisha choka mnaomiliki simu za Tecno na vigari mitumba vya mikopo hamjawahi hata kuweka dental braces kaeni pembeni ktk hili.
Hapa naongea na mboga saba ambao kwenda Ulaya, Asia na Marekani ni kama kwenda gengeni. Wanaoweza kubadilisha pua, macho, utumbo na makalio.
ila kama wewe imetepeta kwa kubanduliwa na hujawahi hata kuzaa, hapo hangaika nayo tu kama nung'ayembe. na utaachwa sana mwisho uombwe hata ndogo kama mbadala, na utatoa tu kwasababu mashine pana huwa inakinai balaa. hilo liwe fundisho kwa wadogo zako wanaojifanya kubadilisha wanaume siku hizi.