Mazoezi ya kegel yamefanywa lakini bado kitu ni kipana tu. Jogging imedunda pia.
Hivi hakunaga surgery ya kupunguza upana wa hii kitu?
N.B. Wale maisha choka mnaomiliki simu za Tecno na vigari mitumba vya mikopo hamjawahi hata kuweka dental braces kaeni pembeni ktk hili.
Hapa naongea na mboga saba ambao kwenda Ulaya, Asia na Marekani ni kama kwenda gengeni. Wanaoweza kubadilisha pua, macho, utumbo na makalio.
Hivi hakunaga surgery ya kupunguza upana wa hii kitu?
N.B. Wale maisha choka mnaomiliki simu za Tecno na vigari mitumba vya mikopo hamjawahi hata kuweka dental braces kaeni pembeni ktk hili.
Hapa naongea na mboga saba ambao kwenda Ulaya, Asia na Marekani ni kama kwenda gengeni. Wanaoweza kubadilisha pua, macho, utumbo na makalio.