Hivi hakuna surgery ya kupunguza upana? Maana hata mazoezi ya kegel yamedunda

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,406
Mazoezi ya kegel yamefanywa lakini bado kitu ni kipana tu. Jogging imedunda pia.

Hivi hakunaga surgery ya kupunguza upana wa hii kitu?

N.B. Wale maisha choka mnaomiliki simu za Tecno na vigari mitumba vya mikopo hamjawahi hata kuweka dental braces kaeni pembeni ktk hili.

Hapa naongea na mboga saba ambao kwenda Ulaya, Asia na Marekani ni kama kwenda gengeni. Wanaoweza kubadilisha pua, macho, utumbo na makalio.
 
Mbona kuna dawa za asili tena za kuchanganya asali ya nyuki wadogo mbona wiki tu.
Haina madhara wala side effect, huna tatizo kubwa hata laki 2 humalizi
 
Mazoezi ya kegel yamefanywa lkn bado kitu ni kipana tu. Jogging imedunda pia.

Hivi hakunaga surgery ya kupunguza upana wa hii kitu?

N.B. Wale maisha choka mnaomiliki simu za Tecno na vigari mitumba vya mikopo hamjawahi hata kuweka dental braces kaeni pembeni ktk hili.

Hapa naongea na mboga saba ambao kwenda Ulaya, Asia na Marekani ni kama kwenda gengeni. Wanaoweza kubadilisha pua, macho, utumbo na makalio.
Highway kuwa uchochoro . Uliona wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kubana upana kwa cosmetic surgery either kwa laser au reconstruction
Screenshot_20211113-214715_1.jpg
 
Back
Top Bottom