Hivi Haji Manara ni msemaji wa Simba au mchambaji Yanga?

Anae mjua msemaji wa timu ya arsenal,man u,man City,Chelsea amtaje hapa

Ndio mtajua manara Hana kariba ya usemaji wa timu at least " TEN" anakuja kuja katika usemaji wa timu
Huo ni ushamba, kila jamii inautamaduni wao.
Yanga saizi watu hawana hamasa na timu kwa sababu Ten ameshindwa kukivaa kiatu cha Muro.
Angalia saizi akina Jimy kindoki ndo wanaangaika kuleta hamasa Yanga,
Jana kaenda clouds anatoa maneno ya shombo eti anavideo ya Greyson wa simba akicheza movie india, .
Haji ni mzr sana Kwenye promotion kulingana na culture ya wabongo.
Alishajua kua Tamasha la Yanga ni jpili, siku moja mbele ni Simba. Ndo mana kaja na slogani ya Iga ufe.
Yote ni kuleta hamasa kwa mashabiki.
Na simba bora wamwache aendelee kubaki lasivyo inaweza ikawakuta ya Yanga watu kutoenda uwanjani
 
Soka la ulaya usilete huku bongo kwenye timu ambazo hazina viwanja.
Huyo TEN yuko Yanga na Manara yuko Simba kila mtu na moto wake, usitake wafanane mkuu.
IGA UFE
Italia mbona hawana wanatumia vya manispaa
 
Huyu jamaa sasa ameanza.kuboa. kuchwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Yanga. Huo ni uswahili kaka. Vichambo vyako vinaboa sana. Jikite kwenye kuipromote timu yako

Maneno yako ya shombo dhidi ya Yanga yanasababisha chuki.unaweza kumuharibia hata Modewji biashara zake. Kuna mashabiki wa Yanga wata susia kununua bidhaa za Mo Enterprises kwa sababu ya maneno yako.

Be proffessional kaka. Wewe umeajiriwa kuwa msemaji wa Simba na sio mtu wa kuichamba Yanga. Kama kuiponda Yanga basi iponde kwenye performance na sio masuala mengine yasiyo husiana na mpira uwanjani.
Halafu acha ufala bana. Unakuwa unafikiri sio mtoto wa Kariakoo bana. Simba sio baba ako wala mama.ako. Mungu kakujalia kipaji cha kuongea. Kesho na.keshokutwa unaweza kutimuliwa Simba, Yanga wakakuajiri uwe msemaji wao. Usiwe kama Shabiki maandazi. Wewe kuwa proffessional.

Halafu nashangaa what has came over u. Hukuwaga hivyo wewe. Enzi za madrassa kwa Ustadh Rama pale ulikuwaga smart sana siku hizi sijui umekuwaje weye.

Wewe ni msemaji wa Simba au Mchambaji wa Yanga?

Kila saa gongowazi gongowazi. Unaboa sana kaka. Be proffessional
Yaaaaani huyo haji anaboa sana kwa kwel Yaaan ningekuwa na uwepo wa kupaza Sauti ningeliongelea hili na ningelikemea kabx
 
Huyo dogo hajafundwa anamkosea adabu hata baba yake.
Yanga ilipigania uhuru wa nchi hii, wahindi na waarabu wakishirikiana na vibaraka wao wakaingia mitini Sundaland aka Simba!!
Yanga club ya wananchi!!
 
Acheni hasira wanayanga. Hata kipindi nyie mnatamba na kujiita wa kimataifa mlikuwa kila uchwao mnawaandama simba na kuwaita wamatopeni.
Huu upinzani wa simba na yanga kwa Tanzania ni jadi.
 
Huyu jamaa sasa ameanza.kuboa. kuchwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Yanga. Huo ni uswahili kaka. Vichambo vyako vinaboa sana. Jikite kwenye kuipromote timu yako

Maneno yako ya shombo dhidi ya Yanga yanasababisha chuki.unaweza kumuharibia hata Modewji biashara zake. Kuna mashabiki wa Yanga wata susia kununua bidhaa za Mo Enterprises kwa sababu ya maneno yako.

Be proffessional kaka. Wewe umeajiriwa kuwa msemaji wa Simba na sio mtu wa kuichamba Yanga. Kama kuiponda Yanga basi iponde kwenye performance na sio masuala mengine yasiyo husiana na mpira uwanjani.
Halafu acha ufala bana. Unakuwa unafikiri sio mtoto wa Kariakoo bana. Simba sio baba ako wala mama.ako. Mungu kakujalia kipaji cha kuongea. Kesho na.keshokutwa unaweza kutimuliwa Simba, Yanga wakakuajiri uwe msemaji wao. Usiwe kama Shabiki maandazi. Wewe kuwa proffessional.

Halafu nashangaa what has came over u. Hukuwaga hivyo wewe. Enzi za madrassa kwa Ustadh Rama pale ulikuwaga smart sana siku hizi sijui umekuwaje weye.

Wewe ni msemaji wa Simba au Mchambaji wa Yanga?

Kila saa gongowazi gongowazi. Unaboa sana kaka. Be proffessional
Haji ni mbumbu mbu, kama utafuatilia maneno anayo zungumza utagundua hajui anachokifanya kwa ujumla anaendeshwa na mihemko, ukisha mwelewa ni kumdharau na kuendelea na yako.
 
Huo ni ushamba, kila jamii inautamaduni wao.
Yanga saizi watu hawana hamasa na timu kwa sababu Ten ameshindwa kukivaa kiatu cha Muro.
Angalia saizi akina Jimy kindoki ndo wanaangaika kuleta hamasa Yanga,
Jana kaenda clouds anatoa maneno ya shombo eti anavideo ya Greyson wa simba akicheza movie india, .
Haji ni mzr sana Kwenye promotion kulingana na culture ya wabongo.
Alishajua kua Tamasha la Yanga ni jpili, siku moja mbele ni Simba. Ndo mana kaja na slogani ya Iga ufe.
Yote ni kuleta hamasa kwa mashabiki.
Na simba bora wamwache aendelee kubaki lasivyo inaweza ikawakuta ya Yanga watu kutoenda uwanjani
Thibitisha
Nenda kagoogle..list of football stadiums in Italy Wikipedia
 
Achana naye mbumbumbu huyo! Ameshasahau ni Yanga hiyo hiyo iliyomlisha, kumlea na kumsitiri pamoja na familia yake wakati mzazi wake alipokuwa ni mwajiriwa wa timu ya wananchi.
Ujinga ni Ujahili.Haji Manara alilelewa na babu yake Marehemu Haji Hassan.Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba. Mtoto wa Haji ni Yanga.Kuwa mpenzi wa timu fulani haindoi "utani ".Kama utani huuwezi basi kaa kando.
Utani wa hizi timu umegeuzwa uadui na wakuja wengi wasiojua asili ya utani huo.Simba na Yanga ni watani wa jadi na enzi hizo utani huo huo ulikuwa mpaka kwenye misiba na ndoa. Haji amekulia kwenye mazingira ya utani huo sio mazwazwa wa sasa wanaofikiri ni uadui.
 
Back
Top Bottom