Haji bado ni mwajiliwa wa Simba, Mbaka pale Simba watakapo toa taarifa nyingine. Mim si shabik wa Haji ila napenda ange endelea kuwa msemaji wa simba kwakua ile ni kazi inayompatia rizk.Kuna mabishano hapa kuhusu Haji manara na Club ya Simba wengine wanasema bado ni msemaji wa club wengine wanadai ametolewa kufika nafasi hiyo mwenye kulifahamu kwa undani wa suala hili anijuze kwa haraka tutatue ugomvi huu.
Mimi niliye jikoni nachojua ni kwamba nafasi iliyotangazwa ni Afisa Habari,cheo ambacho Haji anakosa sifa kutokana na ngazi ya elimu inayohitajika. Kama Haji angekuwa na kiwango hicho cha elimu asingekuwa na mpinzani
Uambie uongozi ubadilishe kanuni,sio mimi!mi Haji namkubali kuliko mashabiki wote wa Simbaacheni zenu hizo, eti vigezooo!
Mwacheni Manara kwnye hiyo nafasi, anaweza, anapendwa na washabiki wa simba n.k!
Uambie uongozi ubadilishe kanuni,sio mimi!mi Haji namkubali kuliko mashabiki wote wa Simba
Wewe ndo unatoa povu sasa!!Haji bado ni mwajiliwa wa Simba, Mbaka pale Simba watakapo toa taarifa nyingine. Mim si shabik wa Haji ila napenda ange endelea kuwa msemaji wa simba kwakua ile ni kazi inayompatia rizk.
Vilevile uwa aninifurahisha anapotoka povu hasa aki panic. Saanyingine hubeba mbaka tv. Jamaa uwa anajiona mjaanja Kumbe Ngapulila tu.