Majan
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,165
- 1,515
Amani iwe nanyi.
Huwa najiuliza sana ivi Gwajima anamchukuliaje Harmonize .?
Kuna ule mstari ktk nyimbo ya harmonize UNO kuna kipande kinasema "NDO LILE GWAJIMA ALILOMPATIA KONDOO" Unooo ooh
Ukizingatia Gwaji mwenyewe kwasasa ni MGOMBEA UBUNGE sasa unakuta kwene majukwaa yachama Harmonize anapita nahuo mstari kama ulivyo tena bila kupunguza neno duh ivi sio kamstari kakumshushia credit Mchungaji kweli?
Ukizingatia ni Mgombea ubunge,
Sasa jana pale Mkapa studium mbele ya Gwajima mwenyewe jamaa kapita nao tena,sasa duh nikavuta picha Gwajiboy alivyomkata jicho Harmonize
Huwa najiuliza sana ivi Gwajima anamchukuliaje Harmonize .?
Kuna ule mstari ktk nyimbo ya harmonize UNO kuna kipande kinasema "NDO LILE GWAJIMA ALILOMPATIA KONDOO" Unooo ooh
Ukizingatia Gwaji mwenyewe kwasasa ni MGOMBEA UBUNGE sasa unakuta kwene majukwaa yachama Harmonize anapita nahuo mstari kama ulivyo tena bila kupunguza neno duh ivi sio kamstari kakumshushia credit Mchungaji kweli?
Ukizingatia ni Mgombea ubunge,
Sasa jana pale Mkapa studium mbele ya Gwajima mwenyewe jamaa kapita nao tena,sasa duh nikavuta picha Gwajiboy alivyomkata jicho Harmonize