Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,364
Hahahaaa!! Nimecheka sana Dada.Wadada wa bondeni wana neema za Allah (in sheikh Kipozeo voice). Huwa ninawaambia walibeba mizigo yote kwenda nayo bondeni wakatuacha wengine na flat screens.
Kuna umuhimu wa kuihamishia laini yangu ya tigo kwenda 4G...
0713,0714,0718,0719,0712,.....acha wapigwe tu..hamna namna
kwan nawe mkuu ni mtumiaji wa ile kitu? (in sudi brown's voice)
HALICHACHIDuh...hivi hapo 0713 unaifikiaje!!!!Lol