Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,966
- 3,729
Naomba kuuliza. Hivi Dar kuna baa ambazo wanaruhusiwa kuingia wanachama wa baa hiyo tu?
Lubumbashi kuzimu ya DarNaomba kuuliza. Hivi Dar kuna baa ambazo wanaruhusiwa kuingia wanachama wa baa hiyo tu?
Kuzimu ukiimanisha nn mkuuuLubumbashi kuzimu ya Dar
USSR
Ungenitaja tu jina langu sina noma, nilikuita uje pale ile siku kwa ajili ya ule mchezo wetu baada ya pale, si unakumbuka?kapital, Victoria nadhani….Siijui jina vizuri nimeenda twice tu kwa access ya mtu.
Dah 😂😂😂 mkuu nikiachika jiandae kunioa!Ungenitaja tu jina langu sina noma, nilikuita uje pale ile siku kwa ajili ya ule mchezo wetu baada ya pale, si unakumbuka?
Kama nilivyosema, sina noma......wewe nibeep tu, utanikuta pale pale Victoria mjengoni nakusubiri twende peponi.Dah 😂😂😂 mkuu nikiachika jiandae kunioa!
Kwahiyo mtu anajisajili kuwa member wa bar??![]()